JF and secured protocol

JF and secured protocol

computerkiddy

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2015
Posts
507
Reaction score
543
Hongereni JF kwa kutumia https, nimeiona leo jion but why it take you so long? Tunasuburia vitu vizuri kutoka kwenu.

Thanks in advance
 
Hehehe mkuu unavyoongea utadhani ni kitu cha ajabu, https ni basic step kwa mtu yeyote mwenye website mbona.
Tatizo ni je hawatoi data zako kwa serikali? Maana pamoja na kuficha username kuna njia nyingi sana za kumkamata mtu humu JF, almost kila mtu yuko traceable, JF hua wana~log IP Addresses zote.
 
Hehehe mkuu unavyoongea utadhani ni kitu cha ajabu, https ni basic step kwa mtu yeyote mwenye website mbona.
Tatizo ni je hawatoi data zako kwa serikali? Maana pamoja na kuficha username kuna njia nyingi sana za kumkamata mtu humu JF, almost kila mtu yuko traceable, JF hua wana~log IP Addresses zote.
ni basic step but for them it took so long.......
 
Back
Top Bottom