Good morning jamii forum.
Sasa unaweza kwenda live kwa kutumia account yako ya Facebook. Yaani unaweza kushare na watu kile unachokifanya ukiwa live na marafiki wako wa Facebook wakakuona...
Nawasalimu wadau, naomba kuuliza, juzi nilisimamishwa na trafic nikaambiwa nimeoverspeed kilometa 2 toka walipo na barabara ina kona na milima, nilipo wauliza wapi, jibu umepigwa touch kwa nyuma...
1. Chukua smartphone yako au tablet yako
2. Nenda kwenye settings
3. Shusha chini kabisa itafute "About phone" au "About tablet"
4. Kisha bonyeza hiyo "About
phone" au "About tablet"
5. Halafu...
Habari ndg wanajamvi
Leo hii nimehama nyumba kwaajili ya kuchange mazingira hivyo nikawa nimefungua dish langu la startimes sasa katika kulifunga tena upya nimejaribu kusearch channel lakini...
Ameiba simu ya rafiki yangu jana,kosa alilolifanya, aliingiza line yake akachange WASAP number.Sasa ukiwa kwenye wasap group ukabadili number,wasap wanatuma notifocation kwenye group.Alipigiwa...
Ndungu wana jf habari za wakati nina sm ina matatizo kidogo nilikuwa naomba kuna uwezekano kuiflash kwenye pc yangu mnielekeze niiflash au lazima niende kwa fundi aniflashie msaaada tafadhari
1.Nauliza kama adapter ya laptop ikiharibika inaweza kutengenezeka?
2.Nina adapter haiingizi chaji kwenye betri ila inauwezo wa kupower computer, je tatizo ni nini na ntalifix vipi?
3.Simu...
hivi hizi xposed apk ktk android si huwa na virus.... maana mfumo mzima wa kuroot na kuingiza xposed apk me nauogopa kabisa
na kingine nnachokiogopa ni boot animation
nilifuta neno tecno nikaweka...
Habari zenu wataalam.Simu yangu imeanza ku-misbehave.Kuna message ambayo nilitumiwa ya balance kama wiki mbili hivi zilizopita.Kila nikitumia USSD code zinaingia kama tatu kwa mpigo.Halafu pia I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.