DAD'S SON
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 392
- 466
Nilikua naitumia kwa kipind kirefu sana lakini sasa hivi mwanga wa screen umezima kabsaaa japo kuw inafany kaz vzur lkn mwanga ndio tatzo lkn cha ajabu zaidi ukiwa unaiwasha PC mwanga unatokea but ndani ya dk 2 mwanga unazima, so naombeni msaada wenu wapendwa