Km unashida na acc ambazo ni hosted account ni 25000 tu na pia km unaitaji domain name ni 8000 tu nicheki 0765321403 kwa maelezo zaidi na kujua new tricks.
Wakuu poleni kwa majukumu!
Nina simu hapa ilikuwa nime-instal whatsap kwa kutumia share application(Bluetooth),ikawa iko poa kabisa lakini baadae nahisi ile version ya whatsap ikawa outdated...
Huyu jamaa kila nikitafuta tutor wa visual art hasa mambo ya 3dmodeling kwenye blender ni yeye kwenye CAD ni yeye vipi hapa wenye uelewa wa mambo haya
Justin marshall ???
Habar zenu wadau.
Naomba kujua hii kitu aisee maana nimeshaformat Window 8 kwenye Pc yangu zaid ya mara tano.
Hivisasa nafikiria kununua Antivirus nzuri but wakat nazichanga
Ivi kwa hizi free...
Habari wana JF, napenda kujuzwa jambo hili la jinsi ya kutumia hio sim card slot kwenye laptop, maana laptop nyingi zinakuja na hio slot na wengi wetu kama mimi hatujui jinsi ya kuzitumia.
mwenye...
Wasalamu wakuu!!!!
Naomba kwa yeyote anayefahamu program nzuri nitayoweza kuinstall kwenye PC, ili iwe rahis kuamisha mafaili ,kwa sababu kuna shughuli nzito ya kuhamisha mafaili yenye GB kubwa...
Kama kuna uwezekano ni hatua zip kufuata ili uwe na uwezo wa kutumia 4G simu ambayo inasoma 3g. Particularly kwenye device yangu ambayo ni TECNO 8H Chief-Mkwawa
hv wana IT ni mtandao gani una vigezo vifuatavyo katika internet kwa matumizi ya kompyuta/ laptop.
1. una speed ya hali ya juu.
2. vifurushi vyake vya MB ni nafuu.
3. hausumbui wakati wa kudownload.
wakuu habarini za mchana!
wadau naombeni msaada wa jinsi ya kupata video za masomo ya kufundishia mbali na kutumia video za youtube, kwa mfano video zinazohusu pysical geography, kama kuna mwenye...
Wakubwa shikamooni,
Wadogo marahaba, tunaolingana mambo.
Jaman baadhi ya chenel kwenye kingamuzi cha AZAM tv ukiiclick inaandika channel is scrambling, ina tatizo gani? Kwa mfano fox sposts...
Samsung finally explained why Galaxy Note 7 batteries are exploding
By Chris Smith on Sep 8, 2016 at 11:23 AM
Mobile
Share This Story
Tweet
Like
Share
Submit
Shop ▾
Image Source: Zach...
Natumia techno p5... Leo nmebadili ROM ya lollipop 5.0 kwenda window phone 8.0......chakushangaza instragram haisapot n camera haipo......kila nnayo danload inagoma
Mi siipendi smart phone yangu kwa sababu zifuatazo:
1.Kamera yake haina uwezo wa kupiga picha angavu mchana kama usiku na usiku ndo sisemi.
2.Uwezo wake wa kuandaa taarifa ni mdogo sana siwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.