Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ask linux questions and get answers Here
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Km unashida na acc ambazo ni hosted account ni 25000 tu na pia km unaitaji domain name ni 8000 tu nicheki 0765321403 kwa maelezo zaidi na kujua new tricks.
0 Reactions
5 Replies
872 Views
Wakuu poleni kwa majukumu! Nina simu hapa ilikuwa nime-instal whatsap kwa kutumia share application(Bluetooth),ikawa iko poa kabisa lakini baadae nahisi ile version ya whatsap ikawa outdated...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Huyu jamaa kila nikitafuta tutor wa visual art hasa mambo ya 3dmodeling kwenye blender ni yeye kwenye CAD ni yeye vipi hapa wenye uelewa wa mambo haya Justin marshall ???
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar zenu wadau. Naomba kujua hii kitu aisee maana nimeshaformat Window 8 kwenye Pc yangu zaid ya mara tano. Hivisasa nafikiria kununua Antivirus nzuri but wakat nazichanga Ivi kwa hizi free...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Msaada jinsi ya Ku delete Snapchat account.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wana JF, napenda kujuzwa jambo hili la jinsi ya kutumia hio sim card slot kwenye laptop, maana laptop nyingi zinakuja na hio slot na wengi wetu kama mimi hatujui jinsi ya kuzitumia. mwenye...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wasalamu wakuu!!!! Naomba kwa yeyote anayefahamu program nzuri nitayoweza kuinstall kwenye PC, ili iwe rahis kuamisha mafaili ,kwa sababu kuna shughuli nzito ya kuhamisha mafaili yenye GB kubwa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama kuna uwezekano ni hatua zip kufuata ili uwe na uwezo wa kutumia 4G simu ambayo inasoma 3g. Particularly kwenye device yangu ambayo ni TECNO 8H Chief-Mkwawa
0 Reactions
21 Replies
5K Views
hv wana IT ni mtandao gani una vigezo vifuatavyo katika internet kwa matumizi ya kompyuta/ laptop. 1. una speed ya hali ya juu. 2. vifurushi vyake vya MB ni nafuu. 3. hausumbui wakati wa kudownload.
0 Reactions
27 Replies
3K Views
wakuu habarini za mchana! wadau naombeni msaada wa jinsi ya kupata video za masomo ya kufundishia mbali na kutumia video za youtube, kwa mfano video zinazohusu pysical geography, kama kuna mwenye...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakubwa shikamooni, Wadogo marahaba, tunaolingana mambo. Jaman baadhi ya chenel kwenye kingamuzi cha AZAM tv ukiiclick inaandika channel is scrambling, ina tatizo gani? Kwa mfano fox sposts...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
does someone knows how to unlock iphone 6s help please
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samsung finally explained why Galaxy Note 7 batteries are exploding By Chris Smith on Sep 8, 2016 at 11:23 AM Mobile Share This Story Tweet Like Share Submit Shop ▾ Image Source: Zach...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natumia techno p5... Leo nmebadili ROM ya lollipop 5.0 kwenda window phone 8.0......chakushangaza instragram haisapot n camera haipo......kila nnayo danload inagoma
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mi siipendi smart phone yangu kwa sababu zifuatazo: 1.Kamera yake haina uwezo wa kupiga picha angavu mchana kama usiku na usiku ndo sisemi. 2.Uwezo wake wa kuandaa taarifa ni mdogo sana siwezi...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
za sa hizi wadau pc yangu imeanza kuleta shida gan sijui yan pointer haionekani nagusa hii touch pad lakin wapi help please thanks
0 Reactions
9 Replies
703 Views
Salaam Wakuu. Hope mko okay kabisa. Well, naulizia sms blocker nzuri inayoweza kublock sms na kwa mtumaji isionyeshe report kuwa msg imefika, yaani isionyeshe double tick kwenye msg aliyotuma...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
habari za mida hii wana jf cm yangu huawei g620 haifungui pdf tatizo ni nini
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Inahusiana na nini ? Msaada
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom