article
Senior Member
- Sep 10, 2016
- 192
- 349
Mi siipendi smart phone yangu kwa sababu zifuatazo:
1.Kamera yake haina uwezo wa kupiga picha angavu mchana kama usiku na usiku ndo sisemi.
2.Uwezo wake wa kuandaa taarifa ni mdogo sana siwezi hata kufungua app mbili kwa wakati mmoja.
3 . Smartphone yangu haina siri kila mtu anaweza kusoma taarifa zangu hata kama nikiweka password.
4 . Smartphone yangu ina kitundu ambacho sikipendi cha kuchagia manake na kuingizia data kwa kuwa kina utaratibu wa kuchomeka cable ukikosea kinakataa.
5.Inachagi kwa muda mrefu zaidi ya masaa matatu wakati simu ya rafiki yangu ndani ya saa limoja inakuwa inakaribia kujaa.
6.Nitafungiwa huduma za watsapp na facebook mwishoni mwa mwaka huu hata sijui nifanyeje.
7.Betri ya simu yangu ni hovyo kabisa hapa nimeichomeka kwenye chargi nikichomoa tu inazimika.
8.Kioo kimevunjia hapa naandika kwa shida kio chake ni bei ya kununua smartphone nyingine.
9.Simu yangu inazingua kusoma ninapokuwa kwenye jua kali mpaka niweke mkono inauzi!!.
10 .Smartphone yangu nikiingiza miziki mitano tu na kupiga picha mbili inaniambia memory full inauzi!
Sijui mwenzangu smart phone yako unaipenda?
Nawakilisha,
Article.
1.Kamera yake haina uwezo wa kupiga picha angavu mchana kama usiku na usiku ndo sisemi.
2.Uwezo wake wa kuandaa taarifa ni mdogo sana siwezi hata kufungua app mbili kwa wakati mmoja.
3 . Smartphone yangu haina siri kila mtu anaweza kusoma taarifa zangu hata kama nikiweka password.
4 . Smartphone yangu ina kitundu ambacho sikipendi cha kuchagia manake na kuingizia data kwa kuwa kina utaratibu wa kuchomeka cable ukikosea kinakataa.
5.Inachagi kwa muda mrefu zaidi ya masaa matatu wakati simu ya rafiki yangu ndani ya saa limoja inakuwa inakaribia kujaa.
6.Nitafungiwa huduma za watsapp na facebook mwishoni mwa mwaka huu hata sijui nifanyeje.
7.Betri ya simu yangu ni hovyo kabisa hapa nimeichomeka kwenye chargi nikichomoa tu inazimika.
8.Kioo kimevunjia hapa naandika kwa shida kio chake ni bei ya kununua smartphone nyingine.
9.Simu yangu inazingua kusoma ninapokuwa kwenye jua kali mpaka niweke mkono inauzi!!.
10 .Smartphone yangu nikiingiza miziki mitano tu na kupiga picha mbili inaniambia memory full inauzi!
Sijui mwenzangu smart phone yako unaipenda?
Nawakilisha,
Article.