Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Msaada, wapi wanauza amazon kindle kwa hapa Dar es salam?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Hello wadau,Tunapenda kuwatangazia kuwa offer za Pawahost dot com bado zinaendelea kwa huduma zifuatazo. Website Designing+1 year free hosting. Project Management System-Inayokupa fursa ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu hii Software nilisha install lakini sijawahi kuangalia mpira hata Siku moja lengo lengo langu nicheki Sys ports, bEiN Sports, BT sports Channels lakini inaonesha Al-Jazeera tuu Nimepitia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapendwa kuna tofauti gani kati ya whatsapp nilizotaja hapo juu na nini faida ya kutumia whatsapp GB Naomba kuwasilisha
0 Reactions
15 Replies
5K Views
wana JF kama mtu anajua apn na proxy za free net mtandao wowote tufahamishane tafadhari. vifurushi vimekazwa
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa..naomba msaada ya kuifanya home theatre yangu iwe inakubali ku play music au video za aina yoyote ile ninazoweka kwenye flash maana sometym zinaplay some tym zinakataa...
1 Reactions
1 Replies
949 Views
naomba msaada wa keys za visual dj 8 mwenye nazo anisaidie plz
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wanajf nahitaji kila nikiingia whatsapp inaniambia niupdate ila cha ajabu nikiupdate inahitaji wifi je wifi ina washwaje ili niweze kuupdate natumia nokia lumia 525.
0 Reactions
1 Replies
580 Views
Habari za muda waheshimiwa Hivi hapa kwetu Tanzania sana sana Dar kuna dealers wanauza motor particularly induction motors, size ndogo, kati na kubwa. Natanguliza shukrani za dhati
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina mziki wa Sony mini HiFi model GZR999D tatizo ni kwamba nikiongeza sauti unajizima na iyo hali uwa inatokea Mara kwa Mara nakosa data kabisa ya kuenjoy Ila kuna muda una kaa sawa. Msaada...
0 Reactions
3 Replies
953 Views
Naomba msaada nimeingiza game ya singularity nikiifungua naambiwa THE APPLICATION WAS UNABLE TO START CORRECTLY (0xc000007b)
0 Reactions
1 Replies
488 Views
Nimezunguka mitandao yote kwenye swala la live streaming laini ya vodacom nimewaelewa sana now nacheki chelsea vs liverpool no buffering za kitoto
0 Reactions
4 Replies
930 Views
Amani iwe kwenu.. Nimepata ka tender kadogo hivi ka ku manage social media accounts za kampuni fulani. sasa nataka nioneshe ubunifu ili mpunga uzidi kuwa mwingi si unajua mkulu bado shimo...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
wana jf, nawezaje kuunganisha vpn ifanye kaz katka apn niliyopo kwani software za vpn nilizonazo hazina sehemu ya kuconfigure apn... naomba msaada kwa anayejua software inayoweza kuunganisha au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kati ya kudownload na ku watch online kipi ni afadhali? i mean hakili Mega bytes nyingi? Nipeni ujanja kabla sijaanza kufanya uamuzi.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wakuu nimeibiwa kasimu kangu ka kupangusa aina ya huawei. Nifanyeje ili kafungwe kasitumike tena kabisa au nikapate? Ninazo imei namba zake. Msaada please
0 Reactions
16 Replies
3K Views
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1114715/ UDOM:Kuna nini Mbona Sijibiwi application yangu?
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Wakuu habari ninaomba mnisaidie jinsi ya kuifanya wifi rooter ya vodacom iwe inatumia line zote,ntashukuru sana kwa msaada
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Aloyesoma Information technology(IT) naomba anichek DM au on whatsapp kwa 0744681618.....thanks i advance
0 Reactions
4 Replies
953 Views
1.LUCKY PATCHER Hii inapatikana kwenye websites mbalimbali especially Google unaweza pata APK yake ambayo ukitaka kuInstall 1.nenda settings>unknown sources uziruhusu 2.nenda Install Apk...
2 Reactions
0 Replies
918 Views
Back
Top Bottom