Udom miaka 3Course inahusika sana na mambo ya GIS yaana geographical information system pale chuo cha aru inafundishwa miaka 4 kwa degree pia hufundishwa katika level ya diploma na certificate.
Application zake ni nyingi sana. Ila huwezi kuzielewa mpaka ukianza kuisomaMbona bsc informatics wanaisoma kama course tu lakini pia sijaelewa zaidi matumizi yake katika maisha ya kawaida
Vipi kuhusu hawa watabiri wa hali ya hewa na hao ni geoinformaticsWataalam wa koz hii wanaajiriwa sana na wizara ya ardhi, tamisemi na katika halmashuri nyingi za bongo kwa kifupi wataalam wakoz hii wanatumika sana katika ku create system mbalimbali za kurahisisha upatikanaji wa taarifa mbalimbali za kiijografia kwa urahisi ili kuboresha huduma zitolewazo na taasisi hizi.
Bsc informatics ni sawa na computer science ni sawa na IT, nadhani inatolewa SUA! geoinformatics briefly inahusiana na ukusanyaji wa data (GIS) na utengenezaji wa ramani na inatolewa ARU!Mbona bsc informatics wanaisoma kama course tu lakini pia sijaelewa zaidi matumizi yake katika maisha ya kawaida
HAWA HAWAHUSIANI na utabiri wa hali ya hewa, utabiri wa hali ya hewa wanafanya watu wa meteorology nadhani inafundishwa UDSM kwa level ya degree.Vipi kuhusu hawa watabiri wa hali ya hewa na hao ni geoinformatics