Samahan wakuu nahitaji kujua Ipi ni bora zaidi na ipi inafaa kuliko nyingine kati ya sansung galaxy s5 na samsung galaxy j7 kwa ujumla ipi ni nzur kwenye kila kitu kwanzia specification mpka utumiaji
Hii course inatolewa Havard University kupitia mtandaoni (online) na wanafundisha vitopics hivi;
-Abstraction,
-Algorithms,
-Data structures,
-Encapsulation,
-Resource Management,
-Security...
Habari wanajamii,Nina Simu tajwa hapo juu niliiroot baada ya muda kama masaa 6 nilibadili line na kuweka laini nyingine nilipoiwasha ikagoma kabisa kuwaka tatizo ni nini naomba ushauri au ndio...
Habari wadau, simu yangu ina tatizo lifuatalo. Nikibonyeza namba za kuhitaji huduma mfano *102# badala ya kuomba salio, inapiga. Ni hivyohivyo kwa huduma nyingine ikiwemo kuingiza vocha. Msaada...
Salaam nyote.
Hope mko salama kabisa wadau. Nimeulizwa swali nami naomba kuliwasilisha kwenu wadau wa Technology.
Hivi inawezekana ku-create group la kutumiana message kama la whatsapp lakini...
We need an Android developer to join our team.
If you think you are the one or your relative might qualify, please let them know.
Send us email with the details.
Find attached image for details...
Mwenye keyboard la laptop natafuta keyboard ya laptop Acer kama inavyo onekana kwenye picha anipe bei mawasiliano ni haya Whatsapp na kawaida by no 0715420098
Habari,
Nina simu nimeletewa kutoka South Africa, ila nikiweka laini ya mtandao wowote wa Tanzania inanialetea meseji "Call not Sent" napotaka kupiga simu au kuangalia salio.
Ila kwenye alama ya...
Naomba msaada simu yangu aina ya sony xperia e3 kila napopiga simu display inakuwa dark (ina sleep) na nakuwa siwezi kukata simu au kufanya lolote hata kama hakuna kizuizi chochote karibu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.