ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,552
- 44,711
Kama kuna uwezekano ni hatua zip kufuata ili uwe na uwezo wa kutumia 4G simu ambayo inasoma 3g. Particularly kwenye device yangu ambayo ni TECNO 8H Chief-Mkwawa
Ngoja ncheke kwa saut mkuuNa Mimi naomba msaada jinsi ya kuifanya ist yangu kuwa Prado
Mkuu haya mambo hatuwezi wote naomba unielimishekweli wee n ndege john
HAPOHAPO SHIKILIA. nami naomba kuifanya SUZUKI CARRY yangu kuwa SCANIANgoja ncheke kwa saut mkuu
HAPOHAPO SHIKILIA. nami naomba kuifanya SUZUKI CARRY yangu kuwa SCANIANa Mimi naomba msaada jinsi ya kuifanya ist yangu kuwa Prado
Itabidi niikate TV yangu ya chogo ili iwe FlatNa Mimi naomba msaada jinsi ya kuifanya ist yangu kuwa Prado
Kunauwezekano wa kubadilisha mke(3g) kuwa mwanaume(4g)
Napita tu