W window9 Senior Member Joined May 12, 2016 Posts 113 Reaction score 85 Sep 28, 2016 #1 Husika na kichwa cha habari hapo juu.njoo inbox kwa mawasiliano zaidi
mtoto wa kibopa JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 5,362 Reaction score 6,480 Sep 28, 2016 #2 Ukivipata nishtue na Mimi nahitaji
N ngakotecture JF-Expert Member Joined Dec 30, 2014 Posts 2,859 Reaction score 3,230 Sep 28, 2016 #3 Kwan mpya bei gani
mtoto wa kibopa JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 5,362 Reaction score 6,480 Sep 28, 2016 #4 ngakotecture said: Kwan mpya bei gani Click to expand... mpyaa inaweza kufika laki 80 na kuendelea
enky Senior Member Joined Aug 30, 2011 Posts 123 Reaction score 142 Sep 28, 2016 #5 Namimi mkipata maana kuna mtu kaniambia kurepair nimpe laki 3.80
N ngakotecture JF-Expert Member Joined Dec 30, 2014 Posts 2,859 Reaction score 3,230 Sep 28, 2016 #6 Wakuu nipo serious kuna jamaa yangu amenambia ana simu note 3 mpya 300000.
enky Senior Member Joined Aug 30, 2011 Posts 123 Reaction score 142 Sep 28, 2016 #7 haijashuka kufikia bei hiyo c chini ya laki 5..
Lyamber JF-Expert Member Joined Jul 24, 2012 Posts 11,737 Reaction score 18,927 Sep 28, 2016 #8 mkikosa njoeni muichukue note 3 kwa 350,000 imetumika kiasi...
mtoto wa kibopa JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 5,362 Reaction score 6,480 Sep 28, 2016 #9 enky said: Namimi mkipata maana kuna mtu kaniambia kurepair nimpe laki 3.80 Click to expand... kakuonea mkuu hiyo bei
enky said: Namimi mkipata maana kuna mtu kaniambia kurepair nimpe laki 3.80 Click to expand... kakuonea mkuu hiyo bei