CCTV na Security Systems

CCTV na Security Systems

Babuj96

Senior Member
Joined
Mar 26, 2016
Posts
136
Reaction score
54
Mimi ni mwanafunzi bado wa advance na nimechukua mchepuo wa arts(HGL).

Nimekuja mbele yenu leo ili niweze kupata msaada maana Nahitaji kuwa na utaalamu wa maswala mazima ya CCTV na Security Systems kwa ujumla hasa hasa wa majumbani ili nitakapo maliza elimu yangu ya advance niweze kusomea.

So nilikuwa nataka kufahamu jina la kozi pamoja na vyuo vinavyotoa hiyo kozi kwa hapa Tanzania.
 
Kwa kuania google basi hata uje na maswali ya kueleweka?
 
Yani artists unataka mishe za science ungekuwa Pgm,pcm au PCB ningekushauri upige Telecom mlimani
 
Back
Top Bottom