Nokia yangu ya tochi

Nokia yangu ya tochi

mikumiyetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2016
Posts
1,312
Reaction score
947
Habari wakubwa leo jioni wakati natoka kwenye mishe mishe zangu za hapa na pale nimeangusha nokia yangu ya tochi ila ina security code,je mtu aliyeokota anaweza kwenda kuflash ikakubali kama smartphone
 
Ni hiki hapa
1475177836621.png
 
Sio mpaka Flush just press number 1 and 3 and power button while restating the phone will start and ask for security code enter 1234 then the phone will be unlocked and change the security code
 
Back
Top Bottom