hello guys.
kila nikitaka kuingia watsap inaniambia your phone date is inaccurate. adjust clock and try again.
nimejaribu kufanya yote lkn bado ipo vile vile, naomben ushaur nifanye nn ili...
Pc yangu aina Toshiba model ya zaman kidgo,imelata hitilafu wakuu ni kam screen ake imepasuka ndani upande mmoja kias flani so haidisplay huko,na haioneshi kitu kabsa yani inanipa shida sana wakuu...
Habari za leo wanajamii!! Nimekaa na Lumia 535 dual kwa kama mwaka mmoja na nusu nikifurahia W8.1 Denim hadi W10. Ila sasa naona muda wa mabadiliko ndio umewadia na sijaona bado sababu ya kurudi...
Nina tv yangu ambayo niliyokuwa natumia takribani miaka mitatu hv...ni tv aina ya sony flat screen jana naiwasha naona inakataa kuendelea kuwaka yani inawaka halafu inabakia neno SONY tu halafu...
habari za muda huu wadau ningependa kufahamu bei ya betri la iphone 5s coz nahis kama betri la kwenye simu yangu limekufa... huku mkoani nilipo hakuna maduka yanayouza hizo betri za aina hiyo hivo...
A group of scientists in Vienna, Austria have launched a plan to create a peaceful nation of its kind that would have Asgardia name.
The nation will be created in outer space, location.
Details...
Kwenye dunia ya leo simu za Android imekuwa kitu muhim sana zaid ya kuzitumia kwa mawasiliano bali wengine zimekuwa ni office zake kabisa. hutumia kuhifadhi vitu vyetu vingi nyngine ikiwa ni siri...
Naomba mnisaidie, nipo ninapiga mashine yangu window 7 ila inagoma kuformat disk ambayo window inatakiwa iingie.
Pili ukinext inaanza kukocopy files na ku expanding Windows files mpaka 100% ila...
Uraibu wa mitandao ya intaneti unaweza kuwa chanzo cha magonjwa mengine ya akili, ripoti inasema.
Utegemezi wa mitandao hiyo unahusishwa na sonona, wasiwasi na mfadhaiko hivyo kuathiri uwezo wa...
Kama unatumia Samsung uwe makini, sio kwa watumiaji wa Samsung note7 tuu.
Hyo video ni ya mtu aliyekipukiwa na Samsung note3 wakati akiwa anaendesha pikipiki.
I am developing an application which needs a user to input his/her postal address during registration.
I have broken the input into two fields: postal address and postal town/city as shown below...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.