HALOTEL sasa hii ni too much!!!

HALOTEL sasa hii ni too much!!!

2in1

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
224
Reaction score
109
Dah halotel sasa mumezidi,yani mtandao umekua na spidi mbovu kupita kiasi mpaka kubrowse tu imekua shida na kustream ndio usiseme yani utakuta buffering kibao.Hivi tatizo lipo wapi wakuu maana kipindi cha nyuma halotel ilikua na speed amazing sana kwenye simu yangu sasa sijui sa hiv tatizo ni nini,nimejaribu kutumia access point zote hizi ila haijasaidia kitu
1476619461479.png
 
Nadhani itakuwa imepata wateja wengi, maana nina kama dkk 10 tu nimeitoa line na kuweka voda, mtandao uko chini sana, labda ni leo tu.
 
Nadhani itakuwa imepata wateja wengi, maana nina kama dkk 10 tu nimeitoa line na kuweka voda, mtandao uko chini sana, labda ni leo tu.
Labda cm yako Ina virus ila mtandao upo fast mno internet yao kiboko ila wameanza kawizi fulan hivi
 
Nadhani itakuwa imepata wateja wengi, maana nina kama dkk 10 tu nimeitoa line na kuweka voda, mtandao uko chini sana, labda ni leo tu.
Mkuu mimi kwangu ni kama wiki na ushee sasa upo hivi,natumia tu kwa ajili ya bundle lao tsh500 wanakupa mb600 kwa wiki
 
Hawa washenzi nisingeunga bundle lao la mwezi nisingekuwa nao had muda huu.
 
Dah halotel sasa mumezidi,yani mtandao umekua na spidi mbovu kupita kiasi mpaka kubrowse tu imekua shida na kustream ndio usiseme yani utakuta buffering kibao.Hivi tatizo lipo wapi wakuu maana kipindi cha nyuma halotel ilikua na speed amazing sana kwenye simu yangu sasa sijui sa hiv tatizo ni nini,nimejaribu kutumia access point zote hizi ila haijasaidia kitu View attachment 419101

Uchawi ni watu wakiwa wengi bhasi na mitandao yetu inafeli bingwa ni vodacom tu
 
inaonekana tatizo lilikuwa nchi nzima, leo mchana nimesumbuka sana kudownload nikaamua kuacha
 
inaonekana tatizo lilikuwa nchi nzima, leo mchana nimesumbuka sana kudownload nikaamua kuacha
Mmmh mbna me Leo kutwa nzma nimeshinda YouTube natizama documentaries na mtandao ulkua fresh japo sio km zaman(wakat unaanza) mpk ikanibid nipunguze quality ya videos
 
Huku uko poa Ila in wezi aisee wakiblock Latin yako in shida sana hats kama INA pesa wanasema sajili nyingine suwaelewi hapo
 
Siku hizi wezi hawa jamaa, mb zinaisha fasta,Internet majanga,ukitaka kuangalia mpira ndio full kwikwi.
 
Back
Top Bottom