KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Mwenye uelewa tafadhali.
Ulijaribu kumpika na kupata maziwa yake mkuu?Mwenye uelewa tafadhali.
Ukifanikiwe kuweka mkono wako pembeni hutaungua?Hawaze kufa sababu microwave inapasha chakula kwa waves zile sasa sehem ambapo kunapata heat Ni katkat tu mende always wanakaa kwa pembeni
Microwave haiwaki ikiwa open hata siku1 , ndio hautaunguaUkifanikiwe kuweka mkono wako pembeni hutaungua?
Ikiwa imewashwa memnde anapiga misele tu mle ndani.mmmh ikiwa imewashwa? au imezimwa?
Microwave haitoi joto, ila inafanya liquid molecules kwenye chakula husika to vibrate causing heat.
Ndio maana hata ukiweka kitu cha plastic hakiungui unless kile kilichomo kipate joto la kukiunguza
Assume umefanikiwa kuweka kidole mle ndani pembeni, utaweza kuhimili joto na mvuke unaoivisha chakula?Microwave haiwaki ikiwa open hata siku1 , ndio hautaungua
DahMende wanaweza kusurvive ata Nuclear bomb...so acha kumchukulia poa
Hiyo ya mende kwenye microwave sina hakika, lakini microwave haitoi joto ndiyo maana inaitwa microwave inatoa waves znazofanya liquid molecules to vibrateMende hana liquid yeyote?
Vp hakuna joto lolote mle ndani la kumuua mende?
Unamaanisha mavi?Kama joto la Kinyesi chooni tena kimefunikwa hawafi basi hakuna Microwave ya kuwaua kinyesi huwa chamoto sana lakini huwa hawafi.