Wadau husikeni na kichwa cha habari hapo juu. Nimeona tangazo la star Times kua kuna channel mpya ila mi kwangu siioni. Channel no.221 ambayo ndo wanasema ipo mi kwangu ni nat geo e, na ni kifurushi cha uhuru, sio mambo kama wanavyotangaza. Ni kwangu tu au hii channel mpya ni kwa wenye dishi?