Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naomba link ya kudownload game za simulation
0 Reactions
8 Replies
2K Views
jaman,nawezaje kujifunza hii frameworks inaitwa codeigniter??? nimeangalia videos zake zote bado cjaelewa. embu mwenye njia rahis kwa jins gan naweza anza anisaidie jaman natanguliza shukran zangu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,naomba msaada wa namna ya kuweka adsense ads katika blog yenye content ya kiswahili Natanguliza shukrani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani ninaomba msaada namna ya ku bootload simu yangu ya huawei G535-L11. Niki iwasha inaishia njiani na inaleta message Bootload Failed to Verify. Bootload Status LOCKED. Naombeni msaada nifanyaje
1 Reactions
4 Replies
708 Views
Habarini wakuu.. Kwa wale wataalam naomba mnijuze, je kuna namna ya kutrace # ya mtu ya simu hapa kwetu na kupata exact location?! Kuna mtu kanitapeli hela na sijui wapi pa kumpata.
2 Reactions
2 Replies
948 Views
Eti wadau inawezekanaje kujua TIN number ya kampuni fulani just kwa kujua jina LA kampuni?
0 Reactions
0 Replies
541 Views
wakuu nina relay switc nahangaika namna ya kuziconnect ost s 112dm 12 vdc na4078 dc9v shg hii ya volt tisa niki energize coil naisikia ikimake ila nashindwa kuzijua ipi nc and no
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari,msaada kwa anayejua jina la sehemu wanayokopesha laptop kwa wanafunzi wa chuo pale posta,tangzo lake linaruka sana pale clouds fm.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wana Jf laptop yangu haifunguki kila nikijaribu kuwasha ikifikia kipengere cha WELCOME inaniandikia maneno yafuatatayo. The application or DLL C/WINDOWS/system32/LSASRV,dll is not...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wadau nimedownload movies nyingi kwa kutumia simu, sasa ninahitaji zicheze na subtitles na embe ni MWenye kujua atiririke kwa faida ya wengi. Na tu mia MX Player na kifaa nachoshushia ni simu...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Tujaribu kukimbizana na Dunia nahitaji kuwa hacker naomba uzi huu utumike kunifundisha ili niwe hacker,kwa kuanza nataka nianze kwa kuwa simple hacker nahack vitu vidogo vidogo kama account ya mtu...
1 Reactions
52 Replies
12K Views
Habari wana JF! Niende moja kwa moja katika lengo. Hub of innovation ni moja ya vitu muhimu sana ambavyo nchi yetu bado ipo nyuma kwa uwepo wa center hzo. Lengo la uzi huu ni kwamba, nimepata...
1 Reactions
4 Replies
902 Views
kwa anayefahamu naomba mnielekeze ninaingiza vipi subtitles zangu mwenyewe kwenye video? asanteni sana
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Radio tajwa hapo juu Sea piano inasoma H1 F1 sipati station yoyote. Miye natumia kwa ajili ya magezeti asubuhi. Msaada nawezaje kutoa hiyo H1 F1.
0 Reactions
1 Replies
869 Views
Msaaada kwa yeyote anayejua sababu za kupotea kwa memory storage space kwenye simu baada ya ku flash... Aeleze apo na jinsi gan naweza kufanya recovery
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Habari ndg zng, Naomba kusaidiwa app ambayo inatafsiri kwa lugha ya kiingereza kwa mtindo wa subtitles wakati naangalia movies. Naomba anayefahamu anijuze maana mimi nimetafuta sijaipata. Msaada...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakuu habari za mida hii,nina system ya Bulk Sms Sender ambayo inamrahisishia user au business man kutuma msg kwa customers au staff wote,so nahitaji API provider kama yupo tuwasiliane please.
0 Reactions
1 Replies
646 Views
Nickon camera 3000D inauzwa iko katika hali nzuri, imetumika wiki moja tu.... Specifications zake na picha apoo chini unaweza kucheki... Bei ni Laki7 kamili, Bei inapungua kwa alie serious...
0 Reactions
0 Replies
647 Views
kwa wale watalaam wa ku-hack website na database naitaji msaada wenu, nahisi kuna mtu ananidokolea data zangu kupitia utaalam wa kimtandao, kwa yeyote ambae atakua tayari kunipa msaada na...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Kizuri kula na wenzako. Kama mnavyojua hivi sasa matumizi ya Adsense network yamekuwa ya shida kwa publishers hasa walio na traffic ndogo sana katika site zao au blog zao. Mitandao kama...
0 Reactions
3 Replies
997 Views
Back
Top Bottom