habari zenu,
Wadau mm ni kijana mwenzenu katika technology ila kila kitu huwa hakikosi vikwazo na kikwazo kikubwa kwangu ni laptop. Nimeamua kuleta kwenu wana jamvi kwa ajili ya Msaada wenu japo...
Miaka ya Hivi karibuni watanzania wamekuwa wakiamka na kubuni vitu ambavyo vinalinufaisha taifa Kwa kiasi kikubwa .Kama Edwin Bruno alivotengeneza app ya kusoma magazeti Dr Hilonga yeye anagusa...
Naombeni msaada wenu wakuu nina simu Huawei y520 nikiiwasha inaniambia "android version has stopped" tafadhalini sana naombeni msaada mwenye ujuzi na hili tatzo maana haisomi network kabisa na...
I have a small question regarding dos commands. Nimekuwa natumia command kama tasklist ambayo ina list all processes zinarun kwenye computer. pia kuna command kama taskkill ambayo inaua processes...
Wana bodi,
Hili suala linanitokea ni wiki ya pili sasa kila nikiandika e_h bila huo mkato inatokea herufi eh eh.
Wataalam wa IT na language njoeni hapa mnisaidie.
Nimatumaini yangu kuwa mkowazima wa afya njema. Ndug wanajamvi ninatatizo kwenye simu ya huawei y530,tatizo liko hivi-…niliiroot kwakutumia kingroot,baada ya kuroot nikadownload ifont na kuinstall...
ANZISHA BIASHARA YA WEBSITE HOSTING & DOMAIN NAME REGISTRATION KWA GHARAMA KARIBU NA BURE...
NB: SLOTS NI 10 TU...FIRST COME FIRST SERVED..
MTAJI: TSH 150,000/= (laki na nusu. sijakosea) KWA...
Msaada wakuu, simu hii viwa android ina pattern sasa nataka kuacces vilivyomo ndani kwa kutumia PC. Nifanye mbinu gani niitumie kwenye PC bila ya kuiformat? Asante
Habari wana jamvi. natumia simu aina ya samsung galaxy note 2 , tatizo lake ni kutokukamata Wireless network (Wi-fi) pamoja na Bluetooth. naomba mawazo na msaada ili niweze kutumia vitu hivyo.
Friji aina ya lg yenye sehemu mbili ,sehemu ya juu ni freezer sehem ya chini ni friji yenye baridi ya kawaida
Shida ipo kwenye friji yenye baridi ya kawaida ,haina baridi kabsaa yaan haitoi...
Habari wana jamii forum,
Natumia toshiba sattelite, katika matumiz yangu ya kawaida suddenly ili freez na kuzima, nilivoiwasha ikaamka na kuweka pasword na hali laptop yangu haikua na pasword...
Chief-Mkwawa Naomba msaada SIMU BORA
Naomba unichagulie simu bora ya kununua bajeti yangu Tsh 0.8mln up to 1.2mln napendelea sana double line kwajili ya kupunguza uzito mfukoni.
History yangu...
Leo ndugu wanajamvi nimeonelea niwaletee maelezo kidogo kuhusu pesa tunazochangia kununua umeme, na hasa kwa wale tunaoishi katika nyumba za kupanga.
Labda nianze na umeme tunaonunua toka tanesco...
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Samsung note 2 inakataa kupiga au kupokea cm inaandika not registered to network... Tatizo hili limekuna baada ya mimi ku upgrade os from note to not samsung...
Wakuu za jioni. Naombeni msaada kama kuna key body ambayo unaweza kuandika maneno kwa kiswahili nayo ikakutafsiria kwa kingereza. Maana english. Ni tatizo kwangu kama nataka kuwasiliana na mtu...
Ninapoiwasha inaandika no bootable devices--strike F1 to retry boot,F2 for setup utility
Press F5 to run onboard diagnostic. hapo tatizo linaweza likawa nini maana nimejaribu hayo yote mwisho wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.