Hujui kutumia smartphone wewe, hvyo rudi utumie nokia toch tuWana bodi hili suala linanitokea ni wiki ya pili sasa kila nikiandika e_h bila huo mkato inatokea herufi eh eh....wataalam wa it na language njoeni hapa mnisaidie
Hujui kutumia smartphone wewe, hvyo rudi utumie nokia toch tuWana bodi hili suala linanitokea ni wiki ya pili sasa kila nikiandika e_h bila huo mkato inatokea herufi eh eh....wataalam wa it na language njoeni hapa mnisaidie
Badilisha font style.View attachment 424427 lbda kwa simu ko haitokei ila kwangu ipo sana