Silicon Valley
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 1,092
- 1,119
Chief-Mkwawa Naomba msaada SIMU BORA
Naomba unichagulie simu bora ya kununua bajeti yangu Tsh 0.8mln up to 1.2mln napendelea sana double line kwajili ya kupunguza uzito mfukoni.
History yangu na simu, niliwahi kutumia simu zifuatazo:
1. Samsung Grand Duos miaka 3 – Internet slow sn
2. Samsung S6 miezi 8 - Ttzo kuchemka saana wakati inatumika
3. Samsung A8 miezi ninayo – Tatizo KUPOTEZA network inabidi washa zima mara kwa mara
Naomba kwa uwelewa wako nichagulie simu nzuri ilioko sokoni ninunue
Napengelea sana ku surf mtandaoni sana, Whattsapp, email , JF, Ila sina tabia ya kutunza music au movie hapana labda pics na movies za whatsapp tu
Naomba unichagulie simu bora ya kununua bajeti yangu Tsh 0.8mln up to 1.2mln napendelea sana double line kwajili ya kupunguza uzito mfukoni.
History yangu na simu, niliwahi kutumia simu zifuatazo:
1. Samsung Grand Duos miaka 3 – Internet slow sn
2. Samsung S6 miezi 8 - Ttzo kuchemka saana wakati inatumika
3. Samsung A8 miezi ninayo – Tatizo KUPOTEZA network inabidi washa zima mara kwa mara
Naomba kwa uwelewa wako nichagulie simu nzuri ilioko sokoni ninunue
Napengelea sana ku surf mtandaoni sana, Whattsapp, email , JF, Ila sina tabia ya kutunza music au movie hapana labda pics na movies za whatsapp tu
