FREE LAPTOP/DESKTOPS

FREE LAPTOP/DESKTOPS

Mussa2001

Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
59
Reaction score
22
habari zenu,

Wadau mm ni kijana mwenzenu katika technology ila kila kitu huwa hakikosi vikwazo na kikwazo kikubwa kwangu ni laptop. Nimeamua kuleta kwenu wana jamvi kwa ajili ya Msaada wenu japo ki mali au HATA kimawazo naombeni Msaada wenu please...View attachment 424633
 
Laptop na desktops zimeshuka bei sana miaka hii sio kama kipindi cha nyuma, kama unaweza kununua simu ya 85000/= basi na desktop unaweza kupata, ila bure kabisa ni ngumu, dhana ya kukaa na kufikiri vya bure zimepitwa na wakati. Ukiakaa kungoja vya bure hutosonga mbele.
 
Laptop na desktops zimeshuka bei sana miaka hii sio kama kipindi cha nyuma, kama unaweza kununua simu ya 85000/= basi na desktop unaweza kupata, ila bure kabisa ni ngumu, dhana ya kukaa na kufikiri vya bure zimepitwa na wakati. Ukiakaa kungoja vya bure hutosonga mbele.
Sawa sawa mkuu nmekuelewa
 
Back
Top Bottom