Msaada kuhusu system ya huawei y530

MOLAM

Senior Member
Oct 12, 2013
141
20
Nimatumaini yangu kuwa mkowazima wa afya njema. Ndug wanajamvi ninatatizo kwenye simu ya huawei y530,tatizo liko hivi-…niliiroot kwakutumia kingroot,baada ya kuroot nikadownload ifont na kuinstall baada ya kuinstall nakajaribu kutafuta font niipendayo ikaniambia ni reboot ili kubadilisha system font nikaruhusu iriboot baada ya kureboot ikabaki kwenye kuandika Adroid bila kuendeleza chochote. Natumaini kupata msaada kutoka kwenu.
 
Nimatumaini yangu kuwa mkowazima wa afya njema. Ndug wanajamvi ninatatizo kwenye simu ya huawei y530,tatizo liko hivi-…niliiroot kwakutumia kingroot,baada ya kuroot nikadownload ifont na kuinstall baada ya kuinstall nakajaribu kutafuta font niipendayo ikaniambia ni reboot ili kubadilisha system font nikaruhusu iriboot baada ya kureboot ikabaki kwenye kuandika Adroid bila kuendeleza chochote. Natumaini kupata msaada kutoka kwenu.

Download firmware hapa http://consumer.huawei.com/nz/mobile-phones/support/downloads/ascend-y530-nz.htm
Katka hiyo zip ya firmware uliyodownload kuna pdf(HUAWEI y530 Software SD card Upgrade Guideline) inayoeleza njinsi ya kufash firmware ktoka kwenye memory card.
 
Nashukuru nimedownload zip nakuweka kwenye simu ila wakati ikianza ku update ina asema ext name error. Nakosea wapi
Extract update.zip . Update kwa kutumia hilo file. kumbuka ku_clear Cache na dalvik cache kwanza ,kabla ya ku update
 
Download firmware hapa http://consumer.huawei.com/nz/mobile-phones/support/downloads/ascend-y530-nz.htm
Katka hiyo zip ya firmware uliyodownload kuna pdf(HUAWEI y530 Software SD card Upgrade Guideline) inayoeleza njinsi ya kufash firmware ktoka kwenye memory card.
Ninatatizo kama hilo mkuu nimepakua firmware inayoendana na simu yangu lakini kuna sehemu ikifika ina fail inaandika "some symlinks failed" naomba msaada hapo mkuu
1477482060836.jpg

Cc churaxzbt8
 
Ninatatizo kama hilo mkuu nimepakua firmware inayoendana na simu yangu lakini kuna sehemu ikifika ina fail inaandika "some symlinks failed" naomba msaada hapo mkuuView attachment 424563
Cc churaxzbt8
Zima simu,kisha bonyeza volume down na volume up button kwa pamoja usiachie kisha power button wait had uone software installation inaanza kisha achia button had imalize
 
Zima simu,kisha bonyeza volume down na volume up button kwa pamoja usiachie kisha power button wait had uone software installation inaanza kisha achia button had imalize
Hivyo nikijaribu haiwaki kabisa mkuu
 
Hivyo nikijaribu haiwaki kabisa mkuu
Umejaribu kutoa battery kwanza na kuweka tena?
Make sure umeformat memory yako,na umetengeneza folder la Dload ambalo ndan yake kutakua na package uliyo extract kisha ndio ufanye hiyo njia.
 
Back
Top Bottom