bro kay
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 254
- 219
Habari wana jamii forum,
Natumia toshiba sattelite, katika matumiz yangu ya kawaida suddenly ili freez na kuzima, nilivoiwasha ikaamka na kuweka pasword na hali laptop yangu haikua na pasword.
Nmetaka kujarib kurestore kupitia safe mode booting lakin nikiwasha tu kabla ya kufanya chochote inanitaka password. Msaada wenu wakuu
Thanks,
Natumia toshiba sattelite, katika matumiz yangu ya kawaida suddenly ili freez na kuzima, nilivoiwasha ikaamka na kuweka pasword na hali laptop yangu haikua na pasword.
Nmetaka kujarib kurestore kupitia safe mode booting lakin nikiwasha tu kabla ya kufanya chochote inanitaka password. Msaada wenu wakuu
Thanks,