Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu naomba kujuzwa ni simu gani bora zaidi za android kwa kipindi cha mwaka 2015 hadi 2016 ambazo miongoni mwake nikinunua sitajutia
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Husika kichwa hapo juu nahitaji kuhost website lakin nimezunguka mitandao mingi naona wanalipia kwa mwaka lakin mm bajeti yangu haitoshi msaada kwa hilo please ni sehemu gani naweza kuhost website...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Kwanini floppy data cable iko twisted?
0 Reactions
1 Replies
658 Views
Rejea kichwa cha somo hapo juu, natafuta fundi wa smart TV [emoji342] ina shake na kubadilika badilika rangi. Ni pm tafadhali.. Au kama kuna ayemjua msaada kwenye tuta
0 Reactions
0 Replies
821 Views
Habari ya Jumapili wakubwa hii kitu hapa chini inawezekana kwenye simu za Tecno notification kuonyesha namba kwenye app husika
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Jaman siwez kubrows kwa kutumia Mozilla Firefox.. Nikijarb inanimbia hvyo kene picha..
0 Reactions
5 Replies
903 Views
Wadau nimerudi tena, kwanza naombeni mnivumilie, napenda sana masuala ya blog. Kwenye blog, nina page mbalimbali kama MAPENZI, MAKALA, MICHEZO NA BURUDANI n.k Swali langu ni, namna gani naweza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Simu tajwa hapo juu imevunjika kioo yeyote anayeweza kusaidia upatikanaji na fixing tuwasiliane PM
0 Reactions
5 Replies
748 Views
Habari wataalamu! Nimedownload game lakn limegoma kufunguka ila kuna ujumbe unasema ni install XINPUT1_3.dill ili iweze kufix problem,nimejaribu kiitafuta kwenye mitandao nimeipata ila ni ya...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
habari , siku za hivi karibuni,nimekutana na matangazo mengi kuhusu simu tajwa hapo juu,nimeona baadhi ya watu wakisifia kama zipo poa esp phantom 6 ambayo inaonekana kama ishaingia katika soko...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naweza kutumia application gani ili niweze kupanga picha ndogo (pasport) katika karatasi moja ya a4 zikae picha ishirini za watu tofauti zikiwana majina chini?
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Hakujawa na utafiti wa kutosha na wa muda mrefu kufanya hitimisho wazi kama mionzi kutoka simu za mkononi ni salama, lakini kulikuwa na data za kutosha kuwashawishi WHO juu ya uhusiano uwezekanao...
9 Reactions
25 Replies
27K Views
Nina note 3 N9005, haipigi simu wala SMS(NO service), lakini Inawasha data vizuri tu, 4g tena na inafungua internet, nikituma IMEI yake kwa TCRA, model ya simu inakuja n900t wanasema simu yangu...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Nakihitaji kitabu hiki kwa hali na mali
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau Salamu. Mimi nina blog, na nimeiwekea pages kama HABARI, MAKALA, SAIKOLOJIA, TIBA ASILIA n.k. Sasa kila nikijaribu kuandika na kupost kwenye hizi page, niki-publish, post haiendi kule...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu wanajamvi, naomba msaada kwa walio na uzoefu wa kufanya manunuzi online kama Alibaba, Ebey na Amazon. Hasa Alibaba maana kuna kitu nataka kuagiza ila sijajua mchakato wake unakuwaje...
2 Reactions
1 Replies
796 Views
Wakuu habari zenu simu yangu ina tatizo kila ninapo Instal app ninapata "Google App has stopped" though installation inakamilika na hili tatizo la muda na kwa sasa nafikiri ndio linapelekea simu...
0 Reactions
3 Replies
913 Views
Habarini. ni app gani ya kublock namba ya mtu SMS na calls zake zisinipate kwa android yangu. msaada Tafadhali.
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Habari wana JF...simu yangu ni smartphone techno ....niliihukua. dukan miez 6 iliyopita lakiini sasa hivi imeanza tatizo la kupoteza...network yan inasoma mtandao kwa shida wakati mwingine nipo...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom