Husika kichwa hapo juu nahitaji kuhost website lakin nimezunguka mitandao mingi naona wanalipia kwa mwaka lakin mm bajeti yangu haitoshi msaada kwa hilo please ni sehemu gani naweza kuhost website...
Rejea kichwa cha somo hapo juu, natafuta fundi wa smart TV [emoji342] ina shake na kubadilika badilika rangi.
Ni pm tafadhali.. Au kama kuna ayemjua msaada kwenye tuta
Wadau nimerudi tena, kwanza naombeni mnivumilie, napenda sana masuala ya blog.
Kwenye blog, nina page mbalimbali kama MAPENZI, MAKALA, MICHEZO NA BURUDANI n.k
Swali langu ni, namna gani naweza...
Habari wataalamu!
Nimedownload game lakn limegoma kufunguka ila kuna ujumbe unasema ni install XINPUT1_3.dill ili iweze kufix problem,nimejaribu kiitafuta kwenye mitandao nimeipata ila ni ya...
habari ,
siku za hivi karibuni,nimekutana na matangazo mengi kuhusu simu tajwa hapo juu,nimeona baadhi ya watu wakisifia kama zipo poa esp phantom 6 ambayo inaonekana kama ishaingia katika soko...
Naweza kutumia application gani ili niweze kupanga picha ndogo (pasport) katika karatasi moja ya a4 zikae picha ishirini za watu tofauti zikiwana majina chini?
Hakujawa na utafiti wa kutosha na wa muda mrefu kufanya hitimisho wazi kama mionzi kutoka simu za mkononi ni salama, lakini kulikuwa na data za kutosha kuwashawishi WHO juu ya uhusiano uwezekanao...
Nina note 3 N9005, haipigi simu wala SMS(NO service), lakini Inawasha data vizuri tu, 4g tena na inafungua internet, nikituma IMEI yake kwa TCRA, model ya simu inakuja n900t wanasema simu yangu...
Wadau Salamu.
Mimi nina blog, na nimeiwekea pages kama HABARI, MAKALA, SAIKOLOJIA, TIBA ASILIA n.k.
Sasa kila nikijaribu kuandika na kupost kwenye hizi page, niki-publish, post haiendi kule...
Habari zenu wanajamvi, naomba msaada kwa walio na uzoefu wa kufanya manunuzi online kama Alibaba, Ebey na Amazon.
Hasa Alibaba maana kuna kitu nataka kuagiza ila sijajua mchakato wake unakuwaje...
Wakuu habari zenu simu yangu ina tatizo kila ninapo Instal app ninapata "Google App has stopped" though installation inakamilika na hili tatizo la muda na kwa sasa nafikiri ndio linapelekea simu...
Habari wana JF...simu yangu ni smartphone techno ....niliihukua. dukan miez 6 iliyopita lakiini sasa hivi imeanza tatizo la kupoteza...network yan inasoma mtandao kwa shida wakati mwingine nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.