salama wakuu? Kuna mkuu mmoja alipost thread kuhus kuexchange muviz. Namshukuru kwan ili weza kunikutanisha na jamaa flan natukaweza kuexchange. Mimi nina muvi lyk 428 kwenye my external...
Wana JF Heshima mbele, I appreciate all Member in JF,
Wakuu nataka kuwekeza Pale KEKO MACHUNGWA kwa anayejua nyumba inauzwa na bei gani chajuu nitampa. tuwasiliane hapa. nataka kujenga Hostel ya...
Wana JF naomba munisaidie, natafuta nyumba ya kununua au kiwanja kizuri maeneo ya Arusha mjini na katika viunga vyake. Nina 15ml kwa ajili ya kununua nyumba hiyo, (msinikebehi ndo uwezo wangu)...
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Mbezi Africana, Goig, samaki na the rest of Mbezi. Iwe nyumba ya kujitegemea(si ya kushea) Vyumba 2 hadi vitatu, Maji muhimu, parking. master, sebule, dining...
Mzee wetu mpendwa Hemed Mmbaga amefariki dunia juzi hospital ya KCMC alikuwa akitibiwa ugonjwa wa moyo.Mzee Mbaga alikuwa mkuu wa magereza mkoa wa Arusha pia kati ya mwaka 1980 - 1985 alikuwa...
Vits inauzwa model ya 2001, imetembea km 100,000, ina mwaka toka isajiliwe iko ktk hali nzuri, bei 6.5 mil. Nyekundu. Anayehitaji kuiona anipigie namba 0656205308
Landrover Free Lander
Mileage 68,000miles only
Engine is in immaculate Condition
UK Import
Model 2004
Owned and driven by a lady Driven in Urban/Town Roads only
Car is in Dar
Bei ni Tshs.14...
hi wandugu,
Naomba kuulizia ,Ninataka kusafirisha vitu vyangu hapa USA kuvileta Arusha nyumbani
kama kuna mtu ambaye ameshawahi kusafirisha container kutoka hapa USA to Mombasa Kenya alitumia...
Iphone 3GS 16GB Unlocked inapatikana Arusha kwa 550,000/=..ilianguka na kuweka Crack kwenye Screen kama inavyoonekana kwenye picha. Touch Sensitivity bado ipo vizuri na simu inafanya kazi kama...
Wana JF naomba msaada wetu, naomba mnijulishe kuhusiana na mashirika yanayokodisha magari (nataka gari la kukodi) kwa Dar es Salaam. Nitafurahi kama mtanijulisha na gharama zao zilivyo kwa siku...
Wana JF natafuta nyumba ya kunua Dar maeneo ya Magomeni mikumi, kagera au mapipa, naomba msaada wenu hata kama ni nyumba chakafu nimepata visenti kidogo, je naweza kupata nyumba maeneo hayo kwa...
Wapendwa kwa bahati mbaya nilipoteza laptop ya ofisini, nahitaji laptop aina ya Samsung 2 GB, used size ya kati sio mjuzi sana kwenye screen size, mwenye nayo naomba anipigie 0656205308.
wadau nisaidieni, naomba kama mwenye details zozote kuhusu hili, nyumba iwe na vyumba 2 vya kulala (kimoja kikiwa self contained itapendezazaidi), sebule kubwa ya kutosha, na stoo. pia kama meter...
Habari za wakati na salamu za sikukuu ndugu wanajukwaa la jamii,
Tunayofuraha sana kujitambulisha kwenu na kwa umma wa watanzania waishio ndani na nje ya mipaka yetu ya kijiografia, Darproperty...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.