Natafuta Nyumba ya kupanga

Natafuta Nyumba ya kupanga

jackiedmos

New Member
Joined
Apr 4, 2011
Posts
3
Reaction score
0
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Mbezi Africana, Goig, samaki na the rest of Mbezi. Iwe nyumba ya kujitegemea(si ya kushea) Vyumba 2 hadi vitatu, Maji muhimu, parking. master, sebule, dining na jiko.

Offer ni 300,000 maximum.

thanks
 
Maeneo ya Mbezi kupata nyumba yenye sifa hizi: (Iwe nyumba ya kujitegemea(si ya kushea) Vyumba 2 hadi vitatu, Maji muhimu, parking. master, sebule, dining na jiko) ni jambo gumu kama lile la ngamia kupenya kwenye tundu la sindano. Nimeambatanisha picha za apartment ya chumba, sebure, jiko ambayo ni ya kushare ambayo bei yake ni shs 250,000/=. Pia nimeambatanisha nimeambatanisha sifa ya nyumba uanyohihitaji ambayo bei yake ni USD 1000. ongeza pesa ifikie at least 550,000 nikupatie nyumba hapo mbezi. anyway unaweza kupata kwa muujiza :welcome:
 

Attachments

  • DSC08763.JPG
    DSC08763.JPG
    21.9 KB · Views: 51
  • DSC08762.JPG
    DSC08762.JPG
    15.1 KB · Views: 54
  • DSC08761.JPG
    DSC08761.JPG
    19.9 KB · Views: 48
  • DSC08766.JPG
    DSC08766.JPG
    33.9 KB · Views: 52
  • DSC08850.JPG
    DSC08850.JPG
    19.3 KB · Views: 49
Ingekua kimara resort ningekupatia nyumba yenye sifa hizo kwa bei hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom