Habari wandugu ...,
Nawaleteeni huduma bora kabisa na ya haraka zaidi kwa mahitaji tajwa hapo juu karibu nawe....
Zote zinapatikana Moshi mjini kona zote au mitaa yote na utazipata ka haraka...
Room for Rent
The following
Kitchen & Living Room
Bedroom, Bathroom & Toilet
Others
Cupboard
Water Heating
Ceiling Fan etc
Room is for Bachelor's Only
Msasani Beach
Price Tsh 800,000 per...
Apartment & nyumba zinazojitegemea za kupanga, viwanja, Fremu za biashara, Mashamba, GODAUNI,
nyumba ZINAZOUZWA Mwanza, OFFICE vyote vinapatikana hapa KWA dalali wetu @ nyumbanzuribeinzuri...
Nyumba inapangishwa kimara Korogwe Kwa mkua njia ya kuelekea Tabata,
Ina vyumba 2 vyote master maji yana flow ndani
Ina sebule kubwa na jiko
Gypsum na tiles mpaka chooni
Kodi 200,000 kwa mwezi...
Chumba na choo chake (Masta), kipo ndani ya fensi, maji ndani yapo, parking ipo, luku submita, umbali wa kutembea dakika 3 tu hadi kituoni.
Call - 0679268006 au 0716442950.
Chumba na choo chake (Masta) na Sebule, kipo ndani ya fensi, maji ndani yapo, parking ipo, luku submita, umbali wa kutembea dakika 3 tu hadi kituoni.
Tshs 150,000 ร 3 Miezi
Call - 0679268006 au...
Habari wadau.
Appartment ya vyumba viwili vya kulala. Sebule jiko na choo inapangishwa maeneo ya tabata kisukulu. Ni 3km ukitokea Mandela Road EPZA ama TFDA office ubungo external.
1. Nyumba...
Ina vyumba 2 vikubwa self,
Ina maji ndani
Umeme
-Ukuta
-Eneo kubwa ndani ya uzio -unaweza kuweka bustani ya mboga,
-NYumba ni mpya kabisa.
-Eneo iliko ni nyuma ya RC/Shule ya msingi Ngaramtoni...
Pagale linauzwa Kigamboni Cheka ina vyumba vitatu kimoja ni master, jiko,sebule,dining. Ipo mita 300 kutoka barabara ya lami ukubwa 30 ร 20
Bei:- million 25 maongezi yapo
Call/WhatsApp:-...
Natafuta nyumba ya NHC maeneo ya Upanga au posta mwenye uwelewa na hatua za kufata ili uweze kupata anijuze Tafadhali na bei pia ni shilingapi kupanga.
Lovely decorated apartment located at Kinondoni vijana, comes with one bedroom ( ensuite ), livingroom, Kitchen along with indoor shared toilet.
It includes security guards, parkingspace...
Chumba kipo Gongo la Mboto Maeneo ya Kaburi Moja Mwisho wa Lami. Kina choo ndani,kioo ndani ya geti , kina madirisha ya vioo,tailiz, feni ya juu na usalama upo wa kutosha.
Anayetaka aje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.