Nauza kiwanja bei 4M
ukubwa 60*15
Eneo Fumagila/Nyamagana/Mwanza
Maji Yamefika
Umeme umepita
Barabara zipo
Hakijapimwa
Contact
Dm
au ukihitaji nakucheki
Karibu kwenye ukulasa wa Dovillen Property.
Kwa mahitaji ya kuuza au kununua nyumba, viwanja,yard, maeneo ya kujenga petrol station nk
POSTA,UPANGA, MASAKI, MSASANI, MIKOCHENI, MBEZI BEACH...
Kiwanja kinauzwa KITUNDA DAR ES SALAAM, kiwanja hiki ni kikubwa mita 30*40 bei milioni 23 tu...!
Unaweza ukajenga nyumba 2 za wastani... na car parking kidogo ikabaki. Barabara ya mtaa inafika...
Kiwanja kinauzwa Arusha Mkono kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani.
Kina ukubwa wa Square meter 1080
BEI million 12
kwa mawasiliano zaidi...
Kiwanja kina sqm 584,
Bei milioni 14 maongezi kidogo yapo.
Kiwanja kipo mtaa mzuri uliojengeka, barabara inafika mpaka kwenye kiwanja
Kimepimwa kina hati ya wizara
0675 065906
VIWANJA VIPO MBEZI MWISHO MSIGANI
✳️ VINA SQM 700 KILA KIMOJA
✳️ VIMEPIMWA VINA HATI YA WIZARA
✳️ PUNGUZO LA BEI MLN 15 TU
✳️ VIPO ENEO ZURI LENYE HUDUMA ZOTE
WAHI FASTA UCHUKUE CHAKO VIMEBAKI...
NAUZA KIWANJA CHANGU
📍Site located at Amani Mapinga Near EPLAS RECREATION
🧵Umbali:
👉 5 km kutoka Bunju
👉1.8 km kutoka Bagamoyo Road
👉2 km kutoka Baharini.(PLOT NEAR BEACH)
• Kiwanja kinagusa...
Milili Kiwanja chako sasa kwaajili ya Makazi, kupitia mradi wetu wa viwanja uliopo VIKINDU VIANZI OBEY.
KUMBUKA:
Ukubwa wa viwanja ni 40 × 50
Kuna huduma za kijamii
Vuwanja vina hati halali...
shamba Liko mvuha morogoro ni eka 49 kila eka laki 5 na nusu ila maongezi yapo
wilaya ya morogoro liko mvuha njia panda kusini kwenda ngerengere chalinze Dar nasaka 4, kushoto matombo mkuyuni...
NIC Life House, 2nd Floor, Wing C, Website:www.archco.co.tz
P.O. Box 38694, Dar es Salaam, Tanzania Email.info@archo.co.tz
Tel:+255 22 211 844
Date: 27th February,2024
YAH: MASHAMBA YA KILIMO...
Wakuu kama kichwa cha uzi kinavyo jieleza, nauza shamba langu ambalo lipo mkoa wa Pwani wilaya ya Chalinze.
Shamba lina ukubwa wa heka 20. Ndani ya shamba kuna banda kubwa la kufungia mifugo...
Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside
Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km
Ukubwa ni 1,400 square metre
Bei ni 90m
Piga 0625617565
Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni...
Kipo kiwanja mbweni jkt block 5 kina sqm 1020. bei 80milion kina hat
Kipo kiwanja mbweni malindi block c sqm 1100. Bei 80milion kina hat
Kipo kiwanja mbweni mpiji sqm 912 bei milion 55 kina...
Miliki kiwanja Michese Dodoma kwa ajili ya kujenga nyumba ya kuishi, lodge, apartments au fremu za biashara. Kiwanja kipo kwenye barabara ya mtaa na kinatazamana na nyumba ya kulala wageni.
Ni...
CHAHWA, CHAMWINO IKULU, DODOMA
Eneo la kiuwekezaji, linakaribia ekari moja. Ni 4350 sqm. Limepimwa tayari. Hapa unanunua then unagawa viwanja unaanza kutengeneza faida kemkem. Ni nyuma ya Ikulu...
Kiwanja kinauzwa Kigamboni karibu na Hamidu City. Kiwanja kina hati, kimezungushiwa fensi na kina ukubwa wa Square Metres 4000 (Eka moja). Umeme na maji vipo. Bei Milioni 250, maongezi yapo.
Ni...
Kiwanja kinauzwa Kigamboni karibu na Hamidu City. Kiwanja kina hati, kimezungushiwa fensi na kina ukubwa wa Square Metres 4000 (Eka moja). Umeme na maji vipo. Bei maelewano.
Ni inbox au piga...
Kiwanja kinauzwa kama ifuatavyo:
i: Mahali kilipo: Kwa bibi barabara ya Tabata/Segerea mita 20 toka barabara kuu.
ii: Eneo: Sqm 1,416
iii. Kina hati: Ndio
iv: Bei: 310m
v: Mawasiliano: +255...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.