Habari wakuu,
Eneo hili linapangishwa kwa matumizi ya bar(pub), groceries, mgahawa na biashara nyingine kama ulionavyo lipo maeneo ya Tabata(DSM), Kodi kwa mwezi ni laki mbili(200,000/=)
Kwa...
Natafuta kampuni au mwekezaji yoyote wa kujenga kituo cha mafuta katika eneo langu .
eneo lipo katika barabara kuu Arusha-Dodoma(maelezo zaidi picha na sehemu husika Dm nitakupa)
Nauza kiwanja kipo Miganga West Dodoma Mjini kiwanja kina huduma zote za msingi kama barabara maji na umeme kimepimwa na kina documents ukubwa wa kiwanja ni sqm 450 bei ya kuuza milioni 6...
Salaam,
Kiwanja kipo Bunju B (upande wa kushoto ukiwa unaelekea bagamoyo)
kipo karibu na nyumba za TBA
Kina ukubwa wa sqm 1628
Kipo sehemu tambarare (angalia picha chini)
Kiwanja kina hati Maliki...
Shamba hili lipo maeneo ya Mkuranga kikungo sehemu panaitwa Kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya kiparang'anda).
Lina heka 4 zinapelea kidogo.
Kuna...
Eneo: Mtaa wa kwa wa mbili - Zogoali
Bei: Tsh. 1,300,000/=
Umeme Upo na maji yapo
Ukubwa : mita 13/13 au miguu 18 kwa 18
Hakuna Dalalii
Piga namba 0627864823
Pata ofa kababmbe kwa ajili ya ramadhani jipatie Subwoofer [emoji344] kali kwa bei nafuu.
Sifa zake.
Brand = Aboder
Bluetooth support.
Flash disk na memory card.
Fm radio
Full Bass
Remote...
PLOT FOR SALE
▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃▃ ▃
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya Goba - kilometers 2 kutoka njia nne na 1 kilometer kutoka barabara ya lami ya kwenda Madale.
Kiwanja kina ukubwa wa 625 square...
Habari ndugu kwa mahitaji yote ya nyumba,vyumba,mashamba,viwanja ndani ya dar ea salaam tafadhali usisite kunitafuta 0659756647 au kujiunga katika group langu iwe ni kwa ajili ya kununua na hata...
Kiwanja Kipo Kilomita 3 Kutoka Goba Senta.
Ukubwa wa Kiwanja 400Sqm
Umiliki; Hati ya Ununuzi ya Serikali ya Mtaa
Bei Tshs 6.5 Milioni
Umeme Upo, barabara hadi Kwenye Kiwanja.
Sent using Jamii...
NAUZA ENEO LA BIASHARA, SQM 1280. KIWANJA KINA HATI, KIPO MBEZI MWISHO KARIBU NA MOROGORO ROAD YA ZAMANI. NI CHA KWETU. HAKUNA DALALI. MADALALI PIA MNAKARIBISHWA. 0659997074 (whatsapp, calls &sms)...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya dege kigambon,
chenye ukubwa wa mita 35*35.
Kipo maeneo ya dege kigambon jiran na yale magorofa.
Hakipo mbali na barabara.
Hakijapimwa ila kiko kwenye maeneo ya makaz...
habari wana jf. Kuna nyumba 3 zinapangishwaa maeneo ya mwenge savei karibu na mliman city.
1. Chumba sebule choo na jiko 180,000/= kwa mwezi.
2. sebule vyumba viwili choo na jiko. tsh 280,000/=...
Shamba lenye uzio la ukubwa wa heka 2.5, lipo Dar - Madale - Kisauke likiwa na mabanda ya kufugia kuku yaliyokamilika kwa vifaa vyote kwa kuku wanaoweza kufikia elfu kumi linakodishwa. Eneo ni...
Nahitaji fremu ya kupanga kwa ajili ya depot ya vinywaji baridi na bidhaa za jumla maeneo ya Goba, Massana, Mbezi Mwisho. Tafadhali ni-pm kama una eneo
Kiwanja kinauzwa BUSWELU
Kwa wakazi wa mwanza kuna viwanja viwili vimeshikana vinauzwa maeneo ya Buswelu jijini Mwanza
Vimeshapimwa na vina Full Documents
Kiwanja kipo Goba mjini mita 300 kutoka stand
Ukubwa miguu 50 kwa 40,pako vizr na njia inafika hadi kwenye plot..bei 35 ml maongezi yapo
Kwa Maelezo zaidi na kuhitaji kuja kuona wasiliana nami...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.