natafuta gari la kukodisha

natafuta gari la kukodisha

mdau wetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2011
Posts
548
Reaction score
62
Wana JF naomba msaada wetu, naomba mnijulishe kuhusiana na mashirika yanayokodisha magari (nataka gari la kukodi) kwa Dar es Salaam. Nitafurahi kama mtanijulisha na gharama zao zilivyo kwa siku, bila dereva
 
Wana JF naomba msaada wenu, naomba mnijulishe kuhusiana na mashirika yanayokodisha magari (nataka gari la kukodi) kwa Dar es Salaam. Nitafurahi kama mtanijulisha na gharama zao zilivyo kwa siku, bila dereva
 
Aina gani ya gari unayotaka, offer yako kwa siku/wiki/mwezi, utaitumia within Dar ama mpaka nje yake. Utakuwa ni self driving ama utatumia driver?
Na je utapenda bargain iwe interms of charges p/km !!!!
 
iwe gari nzuri tu like, toyota camry, corolla, corona na kadhalika, nakusudia gari nzuri yenye hadhi na heshima. nitaitumia kwa dar tu nitapenda kulipa kwa siku au kwa wiki au tupatane kwa mwezi kwani nitaitumia kwa muda wa mwezi mmoja. Dereva juu yangu. nitafurahi kama utanijuza kama kuna mashirika kama hayo hapo Dar kwani kwa miaka mingi nipo nje.
 
Rav 4 au vx vipi

iwe gari nzuri tu like, toyota camry, corolla, corona na kadhalika, nakusudia gari nzuri yenye hadhi na heshima. Nitaitumia kwa dar tu nitapenda kulipa kwa siku au kwa wiki au tupatane kwa mwezi kwani nitaitumia kwa muda wa mwezi mmoja. Dereva juu yangu. Nitafurahi kama utanijuza kama kuna mashirika kama hayo hapo dar kwani kwa miaka mingi nipo nje.
 
Wana JF naomba msaada wenu, naomba mnijulishe kuhusiana na mashirika yanayokodisha magari (nataka gari la kukodi) kwa Dar es Salaam. Nitafurahi kama mtanijulisha na gharama zao zilivyo kwa siku, bila dereva. gari ndogo nzuri ya kutembelea, kwa safari za ndani ya Dar tu
 
Makampuni watakupa bei kubwa nenda kwenye yadi za magari pale Kijitonyama makumbusho, au nenda Kinondoni, au Msasani karibia na TMJ Hospital wanakodisha magari
 
Wana JF naomba msaada wetu, naomba mnijulishe kuhusiana na mashirika yanayokodisha magari (nataka gari la kukodi) kwa Dar es Salaam. Nitafurahi kama mtanijulisha na gharama zao zilivyo kwa siku, bila dereva


Naweza kukodisha gari kwa bei nzuri tu, ni PM tuweke mambo sawa.
 
Nenda Rent car, mh mtallizwa wakati hamna insurance za kueleweka. wale wana insurances zao hata ukienda nayo usirudi haiwahusu. Anyway tusimsifkirie mtu bila kumjua. By grace of God. Ni PM pia naweza kukukonnect na watu wa RENT CAR.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom