Pamoja na kwamba unajikampenia, lakin kwa hiyo avatar best, u mrembo sana, na inapendeza mtu anapokuwa the way alivyo naturall!Sio kweli.Mbona mimi ni mzuri sana tena sana halafu sijajikirimu.Hebu nicheki hapo kwenye avatar yangu.
Pamoja na kwamba unajikampenia, lakin kwa hiyo avatar best, u mrembo sana, na inapendeza mtu anapokuwa the way alivyo naturall!
U r very biutifuuu!
hahahahaa. senks my dia.Lakini sijui ni pepo????????? eti najisikiasikia niweke nywele kama za Beyonce na mimi niwe mdhungu ,lakini kujikirimu hapana ntaendelea kupaka siagi ya ng'ombe.@Charity kwa kweli hiyo avatar ulijipatia sana.....yaani na hii style yako ya nywele siku hizi, thats you for sure
'u mrembo, ngoja tukupige picha'
hahaaaa Paka Jimmy brodah!!!
umaskini wa akili tu ndio unatusumbua
madhara tunaambiwa kila siku lakini bado tunajichuna ngozi...
Afu hata wanaume wa kibongo siku hzi mko mbele sana kutumia mikorogo ya mafuta ya transfoma
umaskini wa akili tu ndio unatusumbua
madhara tunaambiwa kila siku lakini bado tunajichuna ngozi...
Afu hata wanaume wa kibongo siku hzi mko mbele sana kutumia mikorogo ya mafuta ya transfoma
hahaahahahah hujakosea mwanawane! umeshindilia humo humo! Mambo vipi lakini?umaskini wa akili tu ndio unatusumbua
madhara tunaambiwa kila siku lakini bado tunajichuna ngozi...
Afu hata wanaume wa kibongo siku hzi mko mbele sana kutumia mikorogo ya mafuta ya transfoma
Sio kweli.Mbona mimi ni mzuri sana tena sana halafu sijajikirimu.Hebu nicheki hapo kwenye avatar yangu.
atleast nimecheka, kuna yule mwanamziki cjui wa ngwasuma yule mkaka ananitiaga kinya jamani.
hahaahahahah hujakosea mwanawane! umeshindilia humo humo! Mambo vipi lakini?