YoungCorporate
JF-Expert Member
- Apr 30, 2010
- 391
- 113
Wadau ngoja niseme tu leo...maana wahenga walisema mficha maradhi.....yatamuumbua....Kuna ka-experience flani kanamtatiza mdau kunako malavi-davi (ashkum si matusi) ni kwamba katika maandalizi ya mtanange mdau huwa anaanza na maandalizi kama inavyoshauriwa na wataalam wa hiyo idara ya...sasa tatizo ni kwamba mdau akiwa katika romance kwa nia ya kumuandaa mpinzani wake anajikuta anafunga bao la kwanza juu kwa juu....je tatizo hapa ni nini haswa??? Mdau akishajifunga goli utata unakuwa mkubwa coz mpinzani anakuwa yupo tayari lakini mdau anakuwa doro kwa muda flani (zaidi ya 30 mins)......kuna kuwa na kitambo flani mtarimbo unakuwa doro kabla ya kurejea wima ambapo mdau ndio anaweza kuonyesha ushirikiano japo raundi moja...then doro tena...je wadau hii ni kawaida au mdau ana matatizo???
Angalizo: Mdau bado hajaoa japo ana girl friend...
Maoni please...
Angalizo: Mdau bado hajaoa japo ana girl friend...
Maoni please...