Salamu kwenu wakuu........Binafsi siyo mwandishi sana ila nitajitahidi kadiri niwezavyo kufikisha ujumbe.
Nimekaa nikawaza hivi kwanini wanaume tunatumia nguvu nyingi sana
1.Tupewe attention na...
Hello guys naamini mko poa, poleni na majukumu ya hapa na pale,… yakiwa yamebaki masaa kadhaa tuianze weekend nilihitaji tuzungumze hii issue japo kwa uchache, sijajua kama mshawahi kuidiscuss ila...
Ukiwa kama mwanandoa ama hujaoa ama hujaolewa bado
Ushauri wa bure usidate na mwanandoa ile dhambi haitakaa ikuache wewe na family yako
Nakwambia hili fuatilia wanaoteseka kwenye ndoa leo hii...
Kulingana na utafiti usiorasmi uliofanywa na mtaalamu wa sosholojia (sociology) mwalimu Mandela kato ambaye pia ni mhubiri wa neno la mungu imebainika kuwa:
1.Watu wenye kipato cha chini na...
Happy Sabbath wanajamvi.
Si rahisi kugundua ni Kwa kiwango gani unapendwa,ni ngumu mno,ila bahati mbaya wanaume Tunajikuta si wapembuzi wa mambo.mtu anajikuta anaingia kwenye mtego wa SUBIRA na...
Ni hivi, kwenye mahusiano ya kimapenzi kuna hali mbili kupendwa ama la.
Mapenzi siyo kitu cha kudumu kama nyumba, hisia za mtu zinaweza kuwepo na kupotea.
Ukiachana na mapenzi ya wanafamilia...
Shikamoni wote humu maana mi ndo last born wenu humu. Huu uzi alitakiwa auandike Binti wa zamani ila acha nijilipue;
"My racing white darling uzuri wako hauelezeki. Tangu umekuja kwenye maisha...
Mambo ya kuitana switii, bebiii, asaliii...sitaki, najua mnavizia hiki kimshahara kangu.
Mshahara ni wa kwangu, nimeupata baada ya kuchomwa na jua pamoja na kumaliza soli ya kiatu kwa kutembea...
Habari wana jamvi ! poleni na hongereni kwa kila jambo mwaka fulani nilifanikiwa kupata kibarua kampuni (X), hapo baada ya miezi nilikutana na mwanamke mmoja mrembo kwa taarifa nilizopewa yeye...
Nilikukuta umechoka mbwa wewe unalala sebuleni kwa rafiki yako eti umetoka huko ulikotoka kuja kutafuta kazi baada ya kuzalishwa watoto wawili uliowaacha kwa mama yako.
Nikakupenda kutokana na...
Asalam aleiko
Moja kwa moja kwenye Mada
Siku za hivi karibuni nimeanzisha harakati za kuzitandika mbususu ipasavyo na tena bila huruma.
Sasa cha ajabu kati ya mbususu 10 ninazokutana nazo basi...
Ciao.!
Tushakubali kuwa hamko romantic ila punguzeni usela kwenye mapenzi.
Yan ukiwa na pisi ya kichaga inakuchanganya mpaka unashindwa kuelewa wewe ni mshikaji wake, kaka yake au mpenzi wake...
Nimeamua niwasanue vijana wenzangu tafuta wa umri wako hawa km zimesoma sana wasipokupiga na UKIMWI wanakupiga na homa ya in.
Wa mama watu wazima kuanzia 40 wanapenda sana kugongwa
Imenichukua miaka 10 kujua wanawake wanaenda gym kutafuta wanaume.
Yaani gym ni danguro la wazi. Na baadhi ya wanaume(Wachache) wanaenda gym kutafuta wanawake.
Mimi siku zote najua gym ni sehemu...
Niko mbali kidogo na kwangu ambako niseme nje ya Bara la Africa kabisa,
Mke wangu kakwama sehemu akawa amemuomba msaada jamaa yake mmoja msaada bila kunihusisha, sasa lichojibiwa ndo...
Shikamoo wakuu kama kichwa cha habari hapo juu. Ukiona mke wako anakunyima unyumba na hana time na wewe ujue hana hisia na wewe. Mwanamke anayekupenda lazima akumiss na hasiti kukuomba akiwa na...
Wakuu poleni sana na majukumu,,..ama Kwa hakika kwenye hili jukwaa wapo wataalamu na wajuzi na wenye experience katika maswala ya mahusiano..Niende Moja Kwa Moja kwenye mada na kiufupi...