Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,508
- 7,255
Salamu kwenu wakuu........Binafsi siyo mwandishi sana ila nitajitahidi kadiri niwezavyo kufikisha ujumbe.
Nimekaa nikawaza hivi kwanini wanaume tunatumia nguvu nyingi sana
1.Tupewe attention na wanawake
2.Kwanini mkazo unaelekezwa kuishi na wanawake kwa akili?
3.Kwanini hata hapa jukwaani hawa viumbe wanaonekana ni tishio kiasi hiki
4.Hii inakatisha tamaa kwa wale ambao hawajaingia kwenye mahusiano
5.Na pia inawajengea wanawake inferiority complex kwamba wao ni wa hivyo hivyo
6.Binafsi natamani sana kuishi kwa usawa bila kuwindana
7.Tusiumize vichwa sana kuhusu hawa viumbe tuwachukulie simple tu
Karibuni
Nimekaa nikawaza hivi kwanini wanaume tunatumia nguvu nyingi sana
1.Tupewe attention na wanawake
2.Kwanini mkazo unaelekezwa kuishi na wanawake kwa akili?
3.Kwanini hata hapa jukwaani hawa viumbe wanaonekana ni tishio kiasi hiki
4.Hii inakatisha tamaa kwa wale ambao hawajaingia kwenye mahusiano
5.Na pia inawajengea wanawake inferiority complex kwamba wao ni wa hivyo hivyo
6.Binafsi natamani sana kuishi kwa usawa bila kuwindana
7.Tusiumize vichwa sana kuhusu hawa viumbe tuwachukulie simple tu
Karibuni