Hivi Kweli Mapenzi ni kitu cha kumliza Mtu?

Hivi Kweli Mapenzi ni kitu cha kumliza Mtu?

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
15,524
Reaction score
39,116
Ni hivi, kwenye mahusiano ya kimapenzi kuna hali mbili kupendwa ama la.

Mapenzi siyo kitu cha kudumu kama nyumba, hisia za mtu zinaweza kuwepo na kupotea.

Ukiachana na mapenzi ya wanafamilia, wazazi na watoto wao ambayo nayo pia siyo guarantee, mengine ni maigizo

Cha msingi ujue na ukubali huo ukweli mchungu.

Tafakari chukua hatua. SITAKUFUNDISHA TENA
 
Back
Top Bottom