Hii ni stori ndefu sana kipindi hicho nilikuwa naishi Mwanza nikifanya biashara ya mavazi nikinunua Dar kwenda kuuza Mwanza,na mdogo wangu wa kike alikuwa anasoma UDSM,mda mwingi nilikuwa...
Nimeamua kushare hapa hiki kisa cha kweli kilichonitokea kwenye maisha yangu. Nikiamini wengi mtajifunza na kuburudika pia.
NB: Majina ya watu na baadhi ya Majina ya sehemu yatakuwa sio halisi...
Muda mwingine huwa nawaza tu, hivi Hawa watoto walioko mtaani ni kosa au matokeo ya nani??.
jibu ni sisi , ndio ni Mimi na wewe, Kama sio sisi, ni yule au wale. Haijalishi we ni mzuri auhandsome...
Habari zenu!
Kuna hofu inazidi kutanda dhidi ya wanaume wengi kuhofia maumbile yao ya uume.
UKWELI NI KWAMBA..
Maumbile ya uume yapo sawa ondoa hiyo hofu.
Yapo sawa kivipi...?
maumbile ya...
Waslaam wakuu, kwanza naomba nitangulize shukrani zangu za dhati kwa mwenzetu bafetimbi kwa kuanzisha thread murwa kabisa ya Nofab challenge ambayo imeonekana kupokelewa vizuri Sana na Wana...
Iko hivi ,nilihamia hapa dsm mnamo mwezi wa saba mwaka jana nilivofika kuna dem nilisoma nae chuo tukadate kidogo then after mimi kumaliza chuo nikamtema coz hakua chaguo zangu ..
Sasa nilivokuja...
Yaani mdogo wako anakutangulia kuzaa aisee ni dharau sana
Wazee kuna mjinga mmoja hapa mtaani mdogo wake ana watoto wa 3, yeye hana hata mmoja aisee halafu kampita mdogo wake kwa miaka 5
Huu ni...
Wakuu, Mganga wa jadi kazi yake kuponya magonjwa kwa kutumia dawa za mitishamba, hapo dhambi yatoka wapi? Dhambi ni pale mtu huyo anatumia mitishamba hiyo kuua au kufifisha mipango ya mtu...
Ukisoma makala na hadithi mbalimbali kuhusu ndoa zinaonesha kuwa miaka ya nyuma viongozi wa dini ya kikristo walikuwa hawafungishi ndoa endapo wachumba wanatofautiana zaidi ya miaka 10. Walikuwa...
HATA USIKU UKITOA HARUFU NJEMA MKEO ANA PROUD IMETOKEA CHAKULA CHAKE
UNARUDI SAANANE UNAJA...MKE ANAHAMIA KWA WATOTO ALAFU UNAKUJA KANSANI USAIDIWE HAPANA HAIPO HIOO
KULA NYUMBAN TUMWELEKEZE MKE...
Nipo kwenye mahusiano na huyu Dada kwa mwaka mmoja na nusu sasa. Hatuishi pamoja lakini muda mwingi nipo kwake, ananihudumia kwa kila kitu. Mimi nafanya kazi lakini kipato changu ni kidogo sana...
Habari wakuu
Nimehangaika sana kukabiliana na hili jambo lakini kwa uwezo wangu wote imeshindikana kabisa nahitaji msaada na ushauri haswa wa kiimani
Lakini msaada huu sipendelei munielekeze kwa...
Shalom wana wa Mungu,
Sijui niongeze sauti… lakini kichwa cha habari kinajieleza.
Wanandoa hasa wamama—badilikeni.
Pendeni nyumba zenu kama mnavyopenda wachungaji, manabii na mitume.
Maana...
Yupo hapa kijiweni kwangu. Tangia asubuhi ni Farasi Mweupe, ambiance, Kitoko na Kigogo.
Anasema ndugu zake walimuweka kiti moto kiasi cha kuishiwa raha ya sikukuu.
Kwa nini hauoi na una miaka...
Hili swali nakuuliza wewe ambae bado hujafika umri wa kuozesha binti/kijana wako, je umejiandaa kuwa Baba/mama mkwe wa aina gani
Je ni kitu gani sasa hivi unakifanya ila ukifikia hatua ya kuwa...
Wasalaaaaam!
Ndugu zangu leo nimeona nianzishe huu uzi hapa ili pawe kama Centre maalumu ya kupumulia na kupata ushauri kwenye masuala ya mahusiano, ndoa na hata urafiki baina ya wanaume na...
Hii ni stori ya kweli kabisa ilikuwa miaka ya 2010 kipindi hicho ningali bado kijana nilikuwa na mpenzi wangu mmoja nilikuwa nampenda sana lakini alikuwa msumbufu hajatulia
Basi kuna nyumba moja...
MARA nyingi vijana hupata taabu sana katika suala la kuchagua mchumba. Vijana wa kiume ndio hasa hupata wakati mgumu zaidi kwani jamii imewapa wajibu wa kuanzisha mazungumzo yahusianayo na...
Wadada wa mjini ndiyo zao, wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa wanaume walio kwenye ndoa na angalau unajiweza kiuchumi. So, anakuambia anaomba mzae tu eti hatakusumbua, haipogo hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.