Muda si mrefu kuna jamaa yangu nilikuwa naye hapa kwenye gori langu, ghafla bin vuu kuna kijidada kikali sana hapa jirani kikawa kinapita pita, jamaa kakiimbisha chap kwa haraka, mara paap...
Habarini Wadau,
Napenda kutoa pongezi kwa Wanawake wengi wa kisukuma kwa kuwa na tabia njema kulinganisha na makabila mengi hapa nchini,kwa mfano:-
1) HESHIMA: Hawa mabinti wa kisukuma na hata...
Haya mapenzi au uzuzu?
unakuta mwanaume anaosha vyombo mke katulia mwanaume anachambua tembele mke-" katulia kuna jilani yetu hapa anaosha vyombo mpaka kufagia hv mwanaume hana kauli hata wazazi...
Katika pita pita zangu nikakutana na mdada mwenye shepu ninazozitaka, ile kumwangalia tu nikajikuta nakosa pumzi.
Uzalendo ulinishinda, ikabidi nimwambie mdada mmoja nilikuwa naye karibu...
Habarini wana jamvi. ..
Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha...
Wanazengo naombeni msaada, huyo kwenye picha ndo Khadija wangu nampendaaa sana, huyu Binti ndo kila kitu kwenye maisha yangu,
Tangu ameniacha mara kadhaa nimejaribu kujfanya kila namna ili...
May all souls find enlightenment,
Moja kwa Moja kwenye mada, nianze kwa kusema Mimi ni mwanaume (45) nimepata na pamoja na mambo mengine katika ndoa yangu naenjoy sana sex ofcourse nina michepuko...
Kwanini upo single?
Mapenzi yamekushinda?
Hujaona faida yake?
Au upo single kwa sababu maalum?
Bila mapenzi, unadhani dunia ingekuwaje?
Je, wewe unaonaje maisha ya kuwa single? Ni uchaguzi...
Mapenzi ni hisia na si hela; kama unatoa hela juwa ya kuwa unanunua huduma.
Kama mwanaume unayejitambua, jitahidi sana usiingie kwenye huo mfumo wa wadada wanaopenda kuhongwa ili kukupa huduma...
UNASIKIA MAUMIVU MOYONI KIASI CHA KUTAKA KUVUNJA NDOA YAKO..?
Salam..
Maisha ni mafupi sana hapa duniani, epuka kufanya vitu kwa kurudia-rudia.
Jizatiti kabla ya kuingia kwenye ndoa...
Mke analindwa au anajilinda?
STORY YANGU FUPI
Nakumbuka juzi nilipata kazi, ikabidi nikakae kwa rafiki yangu kutokana na umbali wa ninapokaa na nyumbani ili niwahi kufika kazini.
Nikapanga...
Jamani unakuta mkaka kapendeza jeans, raba na anawaka waka sana,
Lakini nimeshangaa ndani kwanza boxer imefubaa, alafu anavua kwa kuficha ficha kwanini msinunue nyingine ni sh ngapi Karume...
Alaa unakuta mwanaume ameupala anang'aa mtaani, safari zake mliman city na mbezi Mbezi,
Kumbe nguo zenyewe kaazima,
Kama ni gari nalo kaazima ni mambo ya aibu mno,
Hasa kuna wale wahongo kama...
Bi mdada hapo kauliza swali ,kijasho kikawatoka mashost,
Mi ni bikira na hamu tunapata vizuri, Ila tunaogopa mno anapojitokeza wa kutoa hamu,
Hamu zetu hukatika ndotonii tu tukiota watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.