Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Muda si mrefu kuna jamaa yangu nilikuwa naye hapa kwenye gori langu, ghafla bin vuu kuna kijidada kikali sana hapa jirani kikawa kinapita pita, jamaa kakiimbisha chap kwa haraka, mara paap...
6 Reactions
32 Replies
569 Views
Habarini Wadau, Napenda kutoa pongezi kwa Wanawake wengi wa kisukuma kwa kuwa na tabia njema kulinganisha na makabila mengi hapa nchini,kwa mfano:- 1) HESHIMA: Hawa mabinti wa kisukuma na hata...
16 Reactions
207 Replies
50K Views
Haya mapenzi au uzuzu? unakuta mwanaume anaosha vyombo mke katulia mwanaume anachambua tembele mke-" katulia kuna jilani yetu hapa anaosha vyombo mpaka kufagia hv mwanaume hana kauli hata wazazi...
1 Reactions
0 Replies
87 Views
Binamu yangu simuelewi, eleweni hivi. Nakumbuka kabla hajaolewa tulikuwa na utani wa kawaida, ila sasa kaolewa Zenji. Juzi kanunua simu akaomba namba yangu, akanipigia akisema amenimiss. BINAMU...
6 Reactions
48 Replies
900 Views
Katika pita pita zangu nikakutana na mdada mwenye shepu ninazozitaka, ile kumwangalia tu nikajikuta nakosa pumzi. Uzalendo ulinishinda, ikabidi nimwambie mdada mmoja nilikuwa naye karibu...
13 Reactions
105 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi. .. Siku chache zilizopita kuna binti mmoja hivi mwenyeji wa mkoa wa Mara (kaolewa Dar es salaam)alinitumia friend request,nikawa nimeaccept.Basi ikawa kila nikipost picha...
28 Reactions
80 Replies
12K Views
Wanazengo naombeni msaada, huyo kwenye picha ndo Khadija wangu nampendaaa sana, huyu Binti ndo kila kitu kwenye maisha yangu, Tangu ameniacha mara kadhaa nimejaribu kujfanya kila namna ili...
3 Reactions
13 Replies
296 Views
May all souls find enlightenment, Moja kwa Moja kwenye mada, nianze kwa kusema Mimi ni mwanaume (45) nimepata na pamoja na mambo mengine katika ndoa yangu naenjoy sana sex ofcourse nina michepuko...
8 Reactions
68 Replies
4K Views
Kwanini upo single? Mapenzi yamekushinda? Hujaona faida yake? Au upo single kwa sababu maalum? Bila mapenzi, unadhani dunia ingekuwaje? Je, wewe unaonaje maisha ya kuwa single? Ni uchaguzi...
15 Reactions
457 Replies
4K Views
Shemeji yako akimuita dada yako demu mbele yako unaipokeaje? Utajisikiaje?
9 Reactions
167 Replies
2K Views
Mapenzi ni hisia na si hela; kama unatoa hela juwa ya kuwa unanunua huduma. Kama mwanaume unayejitambua, jitahidi sana usiingie kwenye huo mfumo wa wadada wanaopenda kuhongwa ili kukupa huduma...
8 Reactions
76 Replies
889 Views
UNASIKIA MAUMIVU MOYONI KIASI CHA KUTAKA KUVUNJA NDOA YAKO..? Salam.. Maisha ni mafupi sana hapa duniani, epuka kufanya vitu kwa kurudia-rudia. Jizatiti kabla ya kuingia kwenye ndoa...
4 Reactions
8 Replies
216 Views
In a year jitahidi umtoe Vacation demu wako / wife ukampige miti Dubai ukishindwa hata Serengeti . Kuna special bond mtazidi kuitengeneza
6 Reactions
43 Replies
552 Views
*kama unaweza kuoa mwanamke mwenye miaka 40 , hushindwi kula chakula kilicho chacha" Anamaana Gani mzee huyu msomi , na mwenye hekima nyingi?
4 Reactions
9 Replies
164 Views
Mke analindwa au anajilinda? STORY YANGU FUPI Nakumbuka juzi nilipata kazi, ikabidi nikakae kwa rafiki yangu kutokana na umbali wa ninapokaa na nyumbani ili niwahi kufika kazini. Nikapanga...
4 Reactions
52 Replies
918 Views
Jamani unakuta mkaka kapendeza jeans, raba na anawaka waka sana, Lakini nimeshangaa ndani kwanza boxer imefubaa, alafu anavua kwa kuficha ficha kwanini msinunue nyingine ni sh ngapi Karume...
6 Reactions
220 Replies
16K Views
Alaa unakuta mwanaume ameupala anang'aa mtaani, safari zake mliman city na mbezi Mbezi, Kumbe nguo zenyewe kaazima, Kama ni gari nalo kaazima ni mambo ya aibu mno, Hasa kuna wale wahongo kama...
6 Reactions
120 Replies
8K Views
Biashara ikiyumba hadi kufirisika Ukifukuzwa kazi Kupatwa changamoto kubwa za afya au ulemavu Kufungwa Jela n.k.
3 Reactions
8 Replies
109 Views
Bi mdada hapo kauliza swali ,kijasho kikawatoka mashost, Mi ni bikira na hamu tunapata vizuri, Ila tunaogopa mno anapojitokeza wa kutoa hamu, Hamu zetu hukatika ndotonii tu tukiota watu...
6 Reactions
97 Replies
9K Views
Kuna dada tunakuwa naye saloon, sasa ametuhabarisha ya ndani kwao, Kuna afisa jeshi mmoja anamtaka, amesekuwa anamtumia meseji usiku ,ila mme wake kaziona anaogopa kumkanya mke wake ameamua...
5 Reactions
136 Replies
10K Views
Back
Top Bottom