Mke analindwa au anajilinda?
STORY YANGU FUPI
Nakumbuka juzi nilipata kazi, ikabidi nikakae kwa rafiki yangu kutokana na umbali wa ninapokaa na nyumbani ili niwahi kufika kazini.
Nikapanga...
Jamani unakuta mkaka kapendeza jeans, raba na anawaka waka sana,
Lakini nimeshangaa ndani kwanza boxer imefubaa, alafu anavua kwa kuficha ficha kwanini msinunue nyingine ni sh ngapi Karume...
Alaa unakuta mwanaume ameupala anang'aa mtaani, safari zake mliman city na mbezi Mbezi,
Kumbe nguo zenyewe kaazima,
Kama ni gari nalo kaazima ni mambo ya aibu mno,
Hasa kuna wale wahongo kama...
Bi mdada hapo kauliza swali ,kijasho kikawatoka mashost,
Mi ni bikira na hamu tunapata vizuri, Ila tunaogopa mno anapojitokeza wa kutoa hamu,
Hamu zetu hukatika ndotonii tu tukiota watu...
Kuna dada tunakuwa naye saloon, sasa ametuhabarisha ya ndani kwao,
Kuna afisa jeshi mmoja anamtaka, amesekuwa anamtumia meseji usiku ,ila mme wake kaziona anaogopa kumkanya mke wake ameamua...
Ni kama kichwa kilivojielezeeni
Nimepata mchumba anaishi Denmark , nauliza je maisha ya kule yakoje?? Maana tukifungs ndoa naondoka,
Lakin mtihani mkubwa nilionao ni kwamba inabidi niufiche...
Ukiwa kwenye ndoa ukitaka kuwa na furaha lazima na mwenza wako awe na furaha lakini ukiwa pekeako unafurahia uhuru wako wewe unachagua nini?
Ukioa uwezi kulala bila ruhusa ya mwenza wako lakini...
Wadau ukweli usemwe tu bila kificho Kijana unapoingia kwenye ndoa na single maza mwenye mtoto wa kiume tambua umeingia kwenye vita. Huyo mtoto uliyemkuta usije ukajifanya ni baba yake otherwise...
Aliandika Marry Diana
Shikamoon wakubwa, wadogo zangu hamjambo.
Siwezi kuwa mnafiki,ndoa ni moja ya nguzo ya lazima,na napenda sana niwe na mtu sahihi ambaye tutaheshimiana.
Mapenzi ni kama...
kwenye nyumba unaweza kugungua haraka mwenye sauti ni mama
Ikitokea mwanaume ni chuma basi yanaweza kutimia ya ule usemi mafahari wawili hawawezi kukaa zizi moja basi moja atahama na watoto...
Wadada 38 to 46
Wanakutana wadada wawili au watatu, marafiki wenye hulka zinazofanana.
Wanatafuta kijana ambaye anasifika kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya mapenzi na kuhimili muda mrefu...
Hivi karibuni kuachana kumeonekana kama fashion mpya. Kwa mwezi huu pekee tumesikia watu maarufu karibia mahusiano au ndoa 5 wameachana, na hata huku mtaani mahusiano yanavunjika kama vile kuna...
Hivi nyie mademu mnaozalishwa hovyo, mna matatizo ya kufikiri au mnaishi kwa kufuata mkumbo wa maisha?
Inakuwaje unakuwa na umbo lako zuri, kuanzia miaka 16 hadi 23 unajigeuza kuwa sehemu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.