Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Ukiwa na vijjcent Tz mambo yanaenda mswano. Ntachelewa kuondoka Tz nizile zile kidogo nikirudi kwa watu nikawe nachapa kazi. Huku nachapa K tu kwa sasa. Hii yenyewe imejiinamisha mbele yangu...
6 Reactions
58 Replies
890 Views
Ndoa ngumu sana Kwa mtu mwenye akili timamu
22 Reactions
88 Replies
2K Views
Love Turns Tragic After Man Discovers His “Date” Was Another Man Disguised as a Woman Love Turns Tragic After Man Discovers His 'Date' Who He Had Spoiled Him With Alcohol Was a Man Pretending...
2 Reactions
2 Replies
120 Views
  • Redirect
Kwenye hizi biashara zenu mlizowaamini wake zenu wasimamie kuna mengi tunayaona. Mkeo atakuwa anafikika kiurahisi,imagine jamaa unamkuta anaongea na mkeo wanacheka,wewe ukifika tu wote...
1 Reactions
Replies
Views
Hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa, Baba mkwe wangu ananidai Mahari Nimalizie Nusu iliyobakia shilingi Milioni moja na Mimi kwasasa Mambo Magumu na tulikubaliana Mwezi huu wa kumi na mbili sasa...
12 Reactions
80 Replies
1K Views
Wakuu, mulibwanji. Nasimama na Wakoritho 13:10. Kabla sijampeleka mke wangu mapumzikoni huko kwao, kuna tukio moja ambalo huwa linanitafakarisha sana. Hapa nyumbani kwangu kuna vijana wawili wa...
10 Reactions
33 Replies
428 Views
Kuna makabila bado yanaendelea na hizi tamaduni za kikatili za kuwakata clitoris mabinti wakiwa na imani kwamba watatulia kwenye ndoa Mfano kuna baadhi ya maeneo ya Singida, Dodoma na Manyara...
2 Reactions
10 Replies
349 Views
Ni kijana aliezaliwa mwaka 1984 jijini Tokyo nchini JAPAN. Ni kijana anayeshikiria rekodi ya DUNIA ya Binadamu pekee mwenye uwezo wa kupiga punyeto MDA mrefu zaidi kabla ya kufika mshindo...
16 Reactions
167 Replies
15K Views
Nimekuwa kwenye mahusiano na mwanamke kutoka Kigoma tangu 2020, tulikutana chuo, na penzi likakolea haswaa! Kipindi cha Covid penzi lilinoga zaidi kwani "Working from home" ilifanya muda wote...
214 Reactions
743 Replies
55K Views
Salaam, Shalom!! Thread hapo juu imejengwa katika Katiba ya Wana wa Mungu iitwayo Neno la Mungu.(Biblia). Kusema kuwa haupo urafiki kati ya Mwanaume na mwanamke haimaanishi kuwa Pana uadui...
7 Reactions
23 Replies
3K Views
Unapokua na kuwa Baba unaanza kuona picha tofauti. Hapa ndo unaanza kuona kuna kitu kinaitwa Afya ya Akili . Unapowatazama watoto wako Unapoiwaza kesho ya watoto wako. Uku ukidaiwa bills ...
11 Reactions
11 Replies
549 Views
Huwa na mazoea ya kwenda bar flani kugida sasa Kuna mdada huwa ananihudumia Leo kaja kukaa karibu yangu ananihudumia vizuri kama kawaida maswali yakaanza sasa Kwanini unakunywa beer ? Nikamjibu...
6 Reactions
43 Replies
927 Views
Kumuokoa mwanaume, mpe michongo.. Kumuokoa mwanamke, mpe mwanaume..
5 Reactions
10 Replies
289 Views
MWAKA WA TISA HUU SIJAMPIGA WALA KUMNYOOSHEA KIDOLE WALA KUMTUKANA BINTI KIMOSO Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Miaka tisa siô mingi Sana làkini pia kwèñye mahusiano ya mapenzi hasa nyakati...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari za wakati huu wakuu, Mara nyingi tunasherehekea "ujauzito" na "kujifungua," lakini tunasahau kuwa kuitwa mzazi ni mkataba wa maisha yote ambao hauna likizo. Uzazi bora hauanzi wodini...
4 Reactions
8 Replies
319 Views
Wakuu tuwatakie kheri ndugu zetu wote waliouwawa MO29 MUNGU AWAHURUMIE NA KUSAMEHE DHAMBI ZAO. Kuna mdada nlimsaidia mtaji wa kibiashara kidogo angalau apambane kupata chochote kitu yeye mtoto...
5 Reactions
54 Replies
840 Views
Nilikuwa miongoni mwa wale Vijana waliokuwa na msimamo wa kukataa ndoa. Leo ninaandika kwa unyenyekevu na toba, nikikiri kuwa nilikosea. Tarehe 22 / Dec/ 2025 nilipata ajali ya bodaboda, tukio...
30 Reactions
68 Replies
1K Views
Mimi binti wa miaka 24, sijaolewa ila nina mchumba wangu ambaye tuko kwenye mahusiano huu ni mwezi 9, ananipedna na mimi nampenda, shida inakuja hivi, wakati tunaanza mahusiano aliniambia kuwa...
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Sijui ndio udomo zege Kila demu nikirusha ndoano anachomoa aisee mwingine ananidharilisha kabisa mtaani aisee naona kama brand inashuka aisee hivi huwa mnafanyaje Kwa mademu wa aina hii Yaani...
14 Reactions
92 Replies
1K Views
Back
Top Bottom