Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

In a year jitahidi umtoe Vacation demu wako / wife ukampige miti Dubai ukishindwa hata Serengeti . Kuna special bond mtazidi kuitengeneza
6 Reactions
43 Replies
552 Views
*kama unaweza kuoa mwanamke mwenye miaka 40 , hushindwi kula chakula kilicho chacha" Anamaana Gani mzee huyu msomi , na mwenye hekima nyingi?
4 Reactions
9 Replies
164 Views
Mke analindwa au anajilinda? STORY YANGU FUPI Nakumbuka juzi nilipata kazi, ikabidi nikakae kwa rafiki yangu kutokana na umbali wa ninapokaa na nyumbani ili niwahi kufika kazini. Nikapanga...
4 Reactions
52 Replies
919 Views
Jamani unakuta mkaka kapendeza jeans, raba na anawaka waka sana, Lakini nimeshangaa ndani kwanza boxer imefubaa, alafu anavua kwa kuficha ficha kwanini msinunue nyingine ni sh ngapi Karume...
6 Reactions
220 Replies
16K Views
Alaa unakuta mwanaume ameupala anang'aa mtaani, safari zake mliman city na mbezi Mbezi, Kumbe nguo zenyewe kaazima, Kama ni gari nalo kaazima ni mambo ya aibu mno, Hasa kuna wale wahongo kama...
6 Reactions
120 Replies
8K Views
Biashara ikiyumba hadi kufirisika Ukifukuzwa kazi Kupatwa changamoto kubwa za afya au ulemavu Kufungwa Jela n.k.
3 Reactions
8 Replies
109 Views
Bi mdada hapo kauliza swali ,kijasho kikawatoka mashost, Mi ni bikira na hamu tunapata vizuri, Ila tunaogopa mno anapojitokeza wa kutoa hamu, Hamu zetu hukatika ndotonii tu tukiota watu...
6 Reactions
97 Replies
9K Views
Kuna dada tunakuwa naye saloon, sasa ametuhabarisha ya ndani kwao, Kuna afisa jeshi mmoja anamtaka, amesekuwa anamtumia meseji usiku ,ila mme wake kaziona anaogopa kumkanya mke wake ameamua...
5 Reactions
136 Replies
10K Views
Ni kama kichwa kilivojielezeeni Nimepata mchumba anaishi Denmark , nauliza je maisha ya kule yakoje?? Maana tukifungs ndoa naondoka, Lakin mtihani mkubwa nilionao ni kwamba inabidi niufiche...
5 Reactions
114 Replies
7K Views
Anakuwa haraka anapendeza haraka na uzuri wake unaisha mapema. akifika 40 kwa ule aliyeringia masela ataacha maringo naanakuwa mzuri...
2 Reactions
23 Replies
258 Views
Ukiwa kwenye ndoa ukitaka kuwa na furaha lazima na mwenza wako awe na furaha lakini ukiwa pekeako unafurahia uhuru wako wewe unachagua nini? Ukioa uwezi kulala bila ruhusa ya mwenza wako lakini...
2 Reactions
5 Replies
126 Views
Wadau ukweli usemwe tu bila kificho Kijana unapoingia kwenye ndoa na single maza mwenye mtoto wa kiume tambua umeingia kwenye vita. Huyo mtoto uliyemkuta usije ukajifanya ni baba yake otherwise...
9 Reactions
22 Replies
395 Views
Aliandika Marry Diana Shikamoon wakubwa, wadogo zangu hamjambo. Siwezi kuwa mnafiki,ndoa ni moja ya nguzo ya lazima,na napenda sana niwe na mtu sahihi ambaye tutaheshimiana. Mapenzi ni kama...
12 Reactions
81 Replies
1K Views
kwenye nyumba unaweza kugungua haraka mwenye sauti ni mama Ikitokea mwanaume ni chuma basi yanaweza kutimia ya ule usemi mafahari wawili hawawezi kukaa zizi moja basi moja atahama na watoto...
6 Reactions
38 Replies
748 Views
Wadada 38 to 46 Wanakutana wadada wawili au watatu, marafiki wenye hulka zinazofanana. Wanatafuta kijana ambaye anasifika kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya mapenzi na kuhimili muda mrefu...
8 Reactions
59 Replies
1K Views
usisononek haup mwenyew ngoja upate ushuhuda kutok kwa wanajukwaa.kuumizwa kup nan hal ya maish haup mwenyew.
2 Reactions
59 Replies
398 Views
https://x.com/georgenjoroge_/status/2068291631980167265?t=EOl7LW_2sWQRw-8Wr9m2Kw&s=19
1 Reactions
0 Replies
90 Views
  • Redirect
Hivi karibuni kuachana kumeonekana kama fashion mpya. Kwa mwezi huu pekee tumesikia watu maarufu karibia mahusiano au ndoa 5 wameachana, na hata huku mtaani mahusiano yanavunjika kama vile kuna...
2 Reactions
Replies
Views
Hivi nyie mademu mnaozalishwa hovyo, mna matatizo ya kufikiri au mnaishi kwa kufuata mkumbo wa maisha? Inakuwaje unakuwa na umbo lako zuri, kuanzia miaka 16 hadi 23 unajigeuza kuwa sehemu ya...
24 Reactions
118 Replies
2K Views
Back
Top Bottom