Hivi karibuni kuachana kumeonekana kama fashion mpya. Kwa mwezi huu pekee tumesikia watu maarufu karibia mahusiano au ndoa 5 wameachana, na hata huku mtaani mahusiano yanavunjika kama vile kuna...
Hivi nyie mademu mnaozalishwa hovyo, mna matatizo ya kufikiri au mnaishi kwa kufuata mkumbo wa maisha?
Inakuwaje unakuwa na umbo lako zuri, kuanzia miaka 16 hadi 23 unajigeuza kuwa sehemu ya...
Wadau wa maendeleo hasa wanaume tukutane hapa kutekeleza hii challenge.
Mimi nimeanza kwa kutoa pesa zote benki na kupeleka UTT UKWASI FUND na BOND FUND nimeweka huko.Panapo majaaliwa tukutane at...
Sijawahi kujua wanaume wanao oa wanawake wengine na kuwaeka nyumba ndogo wanakua wanajua nini wanafanya au kitu gani?
Maana hua wanawaweka mbali na makazi yao hasiria, na hapo hapo huko ambapo...
Kimsingi ipo hivi wakati wewe unapanga na kuchagua mambo unayotaka mungu nae anakuzoom anakuona dogo unayumba.
Watu kibao walikuwa hawana muelekeo mzuri wa kimaisha lakini baada ya kuoa au kuwa...
Msaada wenu tafadhari, nina wapangaji wanne wa kike, kila mwisho wa mwezi ukifika wapangaji hawa huniambia nilale nao ili nisiwadai kodi, na mimi huwa sina hiyana huwa nawapiga kweli, sasa nawaza...
Napata kesi nyingi kwa vijana na malalamiko kuhusu mahusiano.
Ni kweli kwa dunia ya sasa mtu akiniambia ana kwenda kuoa au kuolewa nawaza sana kama kubeti ukaweka GG.
Tunapoteza pesa kuchangia...
Ukisikia mtu anasema wanawake wengi wanaolewa na mwanaume wasiempenda, usifikiri anachekesha. Uhalisia ni kwamba, mwanaune anaoa mwanamke anaempenda, mwanamke anaolewa na mwanaume ambae yupo...
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo...
Nakuvizia kwenye nyumba za ibada, hutokei
Nakupigia simu, hupokei
Nakutumia ujumbe wa simu, hunijibu
Nakuandikia barua, hunijibu
Nakutumia vocha, hunipigii
Nakutumia hela ya matumizi, hushukuru...
MY FELLOW , LISTEN TO ME CAREFULLY.
Sex is sweet but it can ruin your life and bright future.
First lesson - Your penis is not your friend, its as much as your enemy until you know how to...
A woman shares her heartbreak after her boyfriend of five years introduced her to his mother as “a friend” despite the couple having two children and living together as a family. The incident...
Hili suala la baadhi ya wanaume kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja nafikiri ni tatizo kwenye jamii.
Uwiano (ratio) wa wanaume kwa wanawake duniani ni wanaume 101 kwa wanawake 100 au takribani 1:1...
Inatia ukakasi MTU ameshazeeka yupo 30s anakuja kutafuta pension sehemu ambayo hakuwahi kufanya kazi.
Utasikia Mara ohhh nataka awe mchaMungu , Mara awe mrefu mwenye kipato
Are you insane?
Bw na bibi marejesho
Naomba tu nikujuze kwa kweli ulipofikia sio pazuri
Ingawa baadhi wanawapenda lakini hapana mpunguze makali ktk familia za watu
Wapendwa nimeona niwajuze tu kwenye ndoa kuna...
Asalaam aleykum wakuu. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano nanyi mnapaswa kuitikia Kazi iendelee..
Kumekuwa na kawaida sana siku hizi wanawake kuingia kwenye mikopo ya kausha damu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.