Ukiwa na vijjcent Tz mambo yanaenda mswano. Ntachelewa kuondoka Tz nizile zile kidogo nikirudi kwa watu nikawe nachapa kazi. Huku nachapa K tu kwa sasa. Hii yenyewe imejiinamisha mbele yangu...
Love Turns Tragic After Man Discovers His “Date” Was Another Man Disguised as a Woman
Love Turns Tragic After Man Discovers His 'Date' Who He Had Spoiled Him With Alcohol Was a Man Pretending...
Kwenye hizi biashara zenu mlizowaamini wake zenu wasimamie kuna mengi tunayaona. Mkeo atakuwa anafikika kiurahisi,imagine jamaa unamkuta anaongea na mkeo wanacheka,wewe ukifika tu wote...
Hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa, Baba mkwe wangu ananidai Mahari Nimalizie Nusu iliyobakia shilingi Milioni moja na Mimi kwasasa Mambo Magumu na tulikubaliana Mwezi huu wa kumi na mbili sasa...
Wakuu, mulibwanji.
Nasimama na Wakoritho 13:10.
Kabla sijampeleka mke wangu mapumzikoni huko kwao, kuna tukio moja ambalo huwa linanitafakarisha sana. Hapa nyumbani kwangu kuna vijana wawili wa...
Kuna makabila bado yanaendelea na hizi tamaduni za kikatili za kuwakata clitoris mabinti wakiwa na imani kwamba watatulia kwenye ndoa
Mfano kuna baadhi ya maeneo ya Singida, Dodoma na Manyara...
Ni kijana aliezaliwa mwaka 1984 jijini Tokyo nchini JAPAN.
Ni kijana anayeshikiria rekodi ya DUNIA ya Binadamu pekee mwenye uwezo wa kupiga punyeto MDA mrefu zaidi kabla ya kufika mshindo...
Nimekuwa kwenye mahusiano na mwanamke kutoka Kigoma tangu 2020, tulikutana chuo, na penzi likakolea haswaa!
Kipindi cha Covid penzi lilinoga zaidi kwani "Working from home" ilifanya muda wote...
Salaam, Shalom!!
Thread hapo juu imejengwa katika Katiba ya Wana wa Mungu iitwayo Neno la Mungu.(Biblia).
Kusema kuwa haupo urafiki kati ya Mwanaume na mwanamke haimaanishi kuwa Pana uadui...
Unapokua na kuwa Baba unaanza kuona picha tofauti.
Hapa ndo unaanza kuona kuna kitu kinaitwa Afya ya Akili .
Unapowatazama watoto wako
Unapoiwaza kesho ya watoto wako.
Uku ukidaiwa bills ...
Huwa na mazoea ya kwenda bar flani kugida sasa Kuna mdada huwa ananihudumia
Leo kaja kukaa karibu yangu ananihudumia vizuri kama kawaida maswali yakaanza sasa
Kwanini unakunywa beer ?
Nikamjibu...
MWAKA WA TISA HUU SIJAMPIGA WALA KUMNYOOSHEA KIDOLE WALA KUMTUKANA BINTI KIMOSO
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Miaka tisa siô mingi Sana làkini pia kwèñye mahusiano ya mapenzi hasa nyakati...
Habari za wakati huu wakuu,
Mara nyingi tunasherehekea "ujauzito" na "kujifungua," lakini tunasahau kuwa kuitwa mzazi ni mkataba wa maisha yote ambao hauna likizo. Uzazi bora hauanzi wodini...
Wakuu tuwatakie kheri ndugu zetu wote waliouwawa MO29 MUNGU AWAHURUMIE NA KUSAMEHE DHAMBI ZAO.
Kuna mdada nlimsaidia mtaji wa kibiashara kidogo angalau apambane kupata chochote kitu yeye mtoto...
Nilikuwa miongoni mwa wale Vijana waliokuwa na msimamo wa kukataa ndoa. Leo ninaandika kwa unyenyekevu na toba, nikikiri kuwa nilikosea.
Tarehe 22 / Dec/ 2025 nilipata ajali ya bodaboda, tukio...
Mimi binti wa miaka 24, sijaolewa ila nina mchumba wangu ambaye tuko kwenye mahusiano huu ni mwezi 9, ananipedna na mimi nampenda, shida inakuja hivi, wakati tunaanza mahusiano aliniambia kuwa...
Sijui ndio udomo zege Kila demu nikirusha ndoano anachomoa aisee mwingine ananidharilisha kabisa mtaani aisee naona kama brand inashuka aisee hivi huwa mnafanyaje Kwa mademu wa aina hii
Yaani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.