Usaliti wa mapenzi niliofanyiwa unanifanya nazidi kudhoofika sana, kuna muda nalia pekee yangu kuona wapi nilipokosea kwanini napitia kipindi hichi kigumu katika maisha yangu
Sikuwahi kupitia...
Good morning people.
Mimi ni mwanamke age 28 nmekua na mahusiano na hyo aliekua mpenzi yangu for almost a year .lakini tuliachana sababu ya usaliti alimpea mtu mwingine ujauzito,na hyo mtoto...
Maisha ya ndoa enzi ya kale ilikuwa bora heshima ili dumu, ila saivi utapel tu hamna kitu.
Ndoa sai haiheshimiki na talaka zimejaa kibao.kwa sai sioni...
Leo naamka na wanawake.
Hivi mwanamke anaweza kuwa mlevi na asiwe malaya? Sizungumzii mwanamke mnywaji, nazungumzia mlevi. Yule wa kurudi usiku kutoka kwenye ulevi.
Mdogo wangu wa kike, wakati unasubiri mwanaume mwenye hela tumia muda wako kujijenga kiakili, maarifa na kipato kidogo.
Yaani unakaa kabisa na kuwaza kuna mwanaume anatafuta hela, akishapata aje...
Mimi nina miaka 23, napiga kazi za uashi. Sasa kuna muda narudi nyumbani nimechoka, sijaoga, nafika nipo tired kinoma, sijapika. Yaani inaniboa sana. Hata nikinunua vya kupika ili nikapike getto...
Wasalaam;
Miaka hiyo nikiwa mwaka wa pili chuoni. Dada ambaye tulikuwa naye kwenye group moja akanitumia meseji ni sms haya mambo ya whatsapp hayakuwepo). Meseji fupi tu ''njoo hapa room kwangu...
Jamani habari zenu,
Mi nina mchumba wangu tumedumu miaka 3 kwenye uchumba, sasa nikaona kama simuelewi elewi nikamwambia tuachane kutokana na hasira zangu, akaendelea kunisumbua na muda wa ndoa...
Wapendwa katika Kristo, BWANA YESU asifiwe sana,, Asalaam Aleykum kwa Waislam wote ,Twende kwa maada wapendwa,kuna binti yupo kidato cha sita na atamaliza mwaka huu baadae ataenda chuo kama miaka...
Kuna wale wanawake ambao huwa wanaikalia wakichoka wanalala kifuani halafu watulia sisi ndio tunakuwa tunanyanyua kiuno kuwafaata juu utasikia aaaa, ai na huwa tunawakumbatia kwa nguvu halafu...
Kichwa cha Habari
Kazi kukodolea macho na kutuiga sisi matajiri kufungua zipu, lakini kulea mnakimbia: Huu utumwa wa njaa mtaacha lini?
Hivi huwa mnafikiri kwa kutumia viungo gani nyie wanaume...
***VEROSSA***
Inside a Verossa you'd think its some sleek automobile
There she lost her virginity, her dignity and her guile,
Inside a Verossa, she hopped in a lift home
There she was...
Ndoa kweli zimeisha, zimeisha ndoa zilikuwa zile za mababu na baba zetu ndoa Sasa hakuna.
Imagine mke wa mtu anasema ananipenda Sana na anasema hawezi kuniacha anasema anataka muda wa kutosha na...
Nimeipenda sana kauli yake.
Wakati anatangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu, amesema anaenda kufanya kazi muhimu zaidi:
"Kuwa mume bora kwa mke wangu mzuri... na kuwa baba bora zaidi kwa watoto wangu...
Nianze na mimi huwa namuita My Racing white darling❤️ yeye huniita Daddy.........................................Je, wewe unamuita kwa jina gani la utani ili kukoleza upendo?
1. Nikiwa sekondari wakati tunaanza form 2 nilijikuta accidental Nanyoosha mkono kugombea uongozi wa darasa, Nilipata Kura Moja (1) yani kura moja yakujipigia mwenyewe darasa lina zaidi ya...
Shikamoon wakubwa wadogo zangu hamjambo.
Suala la Sisi wanawake kumzalia mtu si la bahati mbaya, yaani ukiona tu nimebeba ujauzito ujue kabisa muhusika nimempenda, kubwa zaidi huwa ni Sura na...
PESA NI NZITO KULIKO UPENDO
Hakuna Mwanamke Anayevutiwa na Mwanaume Anayetembea kwa Miguu, "Upendo wa Dhati ni Hadithi ya Kufikirika.
Wakuu, humu JamiiForums kuna watu wanajifariji kwa utopolo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.