Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Mimi nina miaka 23, napiga kazi za uashi. Sasa kuna muda narudi nyumbani nimechoka, sijaoga, nafika nipo tired kinoma, sijapika. Yaani inaniboa sana. Hata nikinunua vya kupika ili nikapike getto...
12 Reactions
90 Replies
1K Views
Wasalaam; Miaka hiyo nikiwa mwaka wa pili chuoni. Dada ambaye tulikuwa naye kwenye group moja akanitumia meseji ni sms haya mambo ya whatsapp hayakuwepo). Meseji fupi tu ''njoo hapa room kwangu...
3 Reactions
7 Replies
361 Views
Jamani habari zenu, Mi nina mchumba wangu tumedumu miaka 3 kwenye uchumba, sasa nikaona kama simuelewi elewi nikamwambia tuachane kutokana na hasira zangu, akaendelea kunisumbua na muda wa ndoa...
2 Reactions
156 Replies
14K Views
Wapendwa katika Kristo, BWANA YESU asifiwe sana,, Asalaam Aleykum kwa Waislam wote ,Twende kwa maada wapendwa,kuna binti yupo kidato cha sita na atamaliza mwaka huu baadae ataenda chuo kama miaka...
7 Reactions
91 Replies
1K Views
Kuna wale wanawake ambao huwa wanaikalia wakichoka wanalala kifuani halafu watulia sisi ndio tunakuwa tunanyanyua kiuno kuwafaata juu utasikia aaaa, ai na huwa tunawakumbatia kwa nguvu halafu...
9 Reactions
35 Replies
780 Views
Kichwa cha Habari Kazi kukodolea macho na kutuiga sisi matajiri kufungua zipu, lakini kulea mnakimbia: Huu utumwa wa njaa mtaacha lini? Hivi huwa mnafikiri kwa kutumia viungo gani nyie wanaume...
2 Reactions
5 Replies
184 Views
***VEROSSA*** Inside a Verossa you'd think it’s some sleek automobile There she lost her virginity, her dignity and her guile, Inside a Verossa, she hopped in a lift home There she was...
55 Reactions
2K Replies
105K Views
Ndoa kweli zimeisha, zimeisha ndoa zilikuwa zile za mababu na baba zetu ndoa Sasa hakuna. Imagine mke wa mtu anasema ananipenda Sana na anasema hawezi kuniacha anasema anataka muda wa kutosha na...
29 Reactions
136 Replies
2K Views
Nimeipenda sana kauli yake. Wakati anatangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu, amesema anaenda kufanya kazi muhimu zaidi: "Kuwa mume bora kwa mke wangu mzuri... na kuwa baba bora zaidi kwa watoto wangu...
6 Reactions
33 Replies
540 Views
Nianze na mimi huwa namuita My Racing white darling❤️ yeye huniita Daddy.........................................Je, wewe unamuita kwa jina gani la utani ili kukoleza upendo?
5 Reactions
51 Replies
647 Views
1. Nikiwa sekondari wakati tunaanza form 2 nilijikuta accidental Nanyoosha mkono kugombea uongozi wa darasa, Nilipata Kura Moja (1) yani kura moja yakujipigia mwenyewe darasa lina zaidi ya...
2 Reactions
13 Replies
311 Views
Shikamoon wakubwa wadogo zangu hamjambo. Suala la Sisi wanawake kumzalia mtu si la bahati mbaya, yaani ukiona tu nimebeba ujauzito ujue kabisa muhusika nimempenda, kubwa zaidi huwa ni Sura na...
10 Reactions
62 Replies
780 Views
Mtu anatakiwa aolewe akiwa na umri gani?
9 Reactions
34 Replies
474 Views
Et dem mbaya wewe unaelewa nin? Mi naelewa hakuna m baya kwa wote
2 Reactions
8 Replies
124 Views
PESA NI NZITO KULIKO UPENDO Hakuna Mwanamke Anayevutiwa na Mwanaume Anayetembea kwa Miguu, "Upendo wa Dhati ni Hadithi ya Kufikirika. Wakuu, humu JamiiForums kuna watu wanajifariji kwa utopolo...
10 Reactions
48 Replies
694 Views
Habari wakubwa wangu, Leo nimekaa hapa na moyo umenichoma kama kisu. Siwezi hata kulala. Nipo njia panda, maisha yamenifanya nistuke na kuogopa kila kitu. Rafiki yangu wa karibu sana, Juma...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Ebwana eeehh kama kawaida wana jf.Vayulence🔥🔥🔥🔥kwa WAZEE WA NDOA LIALIA,PEACE IS NEVER AN OPTION!!! Katika pitapita zangu kwenye kusomasoma nimekutana na huyu kiumbe wa kuitwa comrade Arthur...
0 Reactions
6 Replies
150 Views
Wakuu ningependa kujua kuhusian na hili, ili muweze kunisaidia wakuu
7 Reactions
76 Replies
1K Views
Wakuu Bado naendelea na maombolezi ya kuachwa na Mwanamke wa ndoto yangu Khadija kimodoo, maymivu ni makali sana nayopitia kuhusu huyu mwanamke siamini ,mpaka saivi hata kazini Leo Mchina amenipa...
0 Reactions
3 Replies
116 Views
Kipindi nimemaliza kidato cha 6 nilikuwa nasimamia lodge ya ndugu yangu kipindi nasubiri kwenda chuo, sasa leo natoa siri kwa wanaume, ukienda lodge na demu wako kuanzia leo, hakikisha unaondoka...
64 Reactions
183 Replies
13K Views
Back
Top Bottom