Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ukisikia mtu anasema wanawake wengi wanaolewa na mwanaume wasiempenda, usifikiri anachekesha. Uhalisia ni kwamba, mwanaune anaoa mwanamke anaempenda, mwanamke anaolewa na mwanaume ambae yupo...
74 Reactions
347 Replies
6K Views
Nimegundua amenichiti sana kipindi anasoma chuo miaka mitatu imepita nimejua leo baada ya kufungua akaunti ya Facebook aliyo kuwa anatumia wakati huo yupo chuo na kusoma mesenja za zamani walivyo...
17 Reactions
78 Replies
1K Views
Nakuvizia kwenye nyumba za ibada, hutokei Nakupigia simu, hupokei Nakutumia ujumbe wa simu, hunijibu Nakuandikia barua, hunijibu Nakutumia vocha, hunipigii Nakutumia hela ya matumizi, hushukuru...
9 Reactions
47 Replies
378 Views
MY FELLOW , LISTEN TO ME CAREFULLY. Sex is sweet but it can ruin your life and bright future. First lesson - Your penis is not your friend, its as much as your enemy until you know how to...
21 Reactions
32 Replies
2K Views
A woman shares her heartbreak after her boyfriend of five years introduced her to his mother as “a friend” despite the couple having two children and living together as a family. The incident...
5 Reactions
28 Replies
424 Views
Hili suala la baadhi ya wanaume kumiliki mwanamke zaidi ya mmoja nafikiri ni tatizo kwenye jamii. Uwiano (ratio) wa wanaume kwa wanawake duniani ni wanaume 101 kwa wanawake 100 au takribani 1:1...
12 Reactions
68 Replies
770 Views
Inatia ukakasi MTU ameshazeeka yupo 30s anakuja kutafuta pension sehemu ambayo hakuwahi kufanya kazi. Utasikia Mara ohhh nataka awe mchaMungu , Mara awe mrefu mwenye kipato Are you insane?
8 Reactions
37 Replies
2K Views
Bw na bibi marejesho Naomba tu nikujuze kwa kweli ulipofikia sio pazuri Ingawa baadhi wanawapenda lakini hapana mpunguze makali ktk familia za watu Wapendwa nimeona niwajuze tu kwenye ndoa kuna...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
  • Redirect
Asalaam aleykum wakuu. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano nanyi mnapaswa kuitikia Kazi iendelee.. Kumekuwa na kawaida sana siku hizi wanawake kuingia kwenye mikopo ya kausha damu na...
1 Reactions
Replies
Views
Ukikubali tu kesho natangaza ndoa na wewe
8 Reactions
144 Replies
1K Views
Acha EGO jishushe kama unamwelewa mtu acha kujiuliza Mara mbilii takuaje nkimtafta au Atanionaje mm nkiwa wakwanza kumtext, break the EGO and check on her or him . Mapenzi yamebeba pande mbili...
9 Reactions
30 Replies
384 Views
Alikuja kwa kigezo kumwona mke wake na mtoto maana huyu dada yangu baada ya kujifungua ikampasa aje hom ajitazamie kutokana na ukaribu na urahisi wa huduma za hospitar Uzuri mzee amejijenga...
9 Reactions
39 Replies
745 Views
Sijui ni nani aliwadangaya kwamba kilele cha utamu wa minjunjano kipo 071"?..Yaan bila kudukuliwa sewage canal nyinyi mnaona tendo halijakamilika. No wonder utelezi na mnato vinakua vitu adimu...
8 Reactions
36 Replies
824 Views
Hapo inakuwaje wadau, eti mwanamke anasema, sikupi mambo mpaka ujitambulishe kwetu na huku mwanaume naye anakaza kamba, anataka kwanza aonje utamu ndio ajue kama yaliyomo yamo akinogewa ndio...
0 Reactions
11 Replies
135 Views
Hey people, Title inajielezea,msinifokee nina mimba changa bado, huu ni muendelezo wa uzi 👇...
9 Reactions
63 Replies
798 Views
Wakuu salama, nimezaa na mwamnke mmoja ambaye sasa ni single mother. Nilikuwa namhudumia lakini wakti mwingine simhudumii kulingana na ujeuri wake. Nikitaka kumuona mtoto inakuwa ngumu...
11 Reactions
45 Replies
760 Views
Kwa utafiti wangu mdogo niliofanya nimegundua kwamba tabia za mama mkwe ndio tabia za mkeo upende usipende. Kwa hiyo kama una mpango wa kuoa usiishie kumchunguza mchumba wa kike ambaye wakati wa...
9 Reactions
44 Replies
11K Views
Hamasa kwenye mapenzi ni moja ya mambo muhimu ambayo yanaweza kumfanya mwanaume azuzuke na kunasa kwa urahisi kwa mtu wake. Wanaume wengi ambao wanatabia za kuchepuka wanajua fika kuwa michepuko...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Vijana,wazee Kunawakati inabidi kujitafakari kwanza na kujiuliza kuwa ninachokifanya ni sahihi Yaan unajipa umuhimu Kwa mtu ambaye hajui thaman ya nafasi Yako Kiufupi tuache kujiingiza kweny...
11 Reactions
26 Replies
350 Views
Watu wengi nawasikiaga wanasemaga mapenzi pesa CHA kushangaza kuna watu matajiri rakini kila siku wanalia kwa sababu ya mapenzi Imekaaje hii hebu nielekezeni WAKUU karibuni ONYO: Changieni...
5 Reactions
44 Replies
458 Views
Back
Top Bottom