Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Hakika kina mama, hii mikopo mnayoichukua bila ya kuwaarifu waume zenu ni umafia. Nje ya usaliti, Nyumba na ndoa nyingi zinavunjika siku hizi kwa sababu ya mikopo inayochukuliwa na wanawake kwa...
5 Reactions
19 Replies
367 Views
Nilikua mahala kwenye SIKUKU zetu hizi, nikiwa na jamaa YANGU tunapiga stori, akanijuza changamoto zake za mahusiano. Changamoto kubwa ni kuhusu mpenzi wake kufahamiana na washikaji kibao akidai...
6 Reactions
26 Replies
585 Views
Ninaishi na mke wangu na kwasasa ndoa yetu ina miaka 3 lakini moja ya changamoto ya ndoa yetu ni tabia ya mke wangu. Uyu mwananke ana asira kibaya ni kuwa yeye hajuagi kabisa kudhiti asira yake...
15 Reactions
81 Replies
2K Views
Wakuu kuna binti mtoto wa alfu mbili nimemuelewa sana, nimempenda na nimemwambia mara kadhaa adhma yangu ya kumuoa, hana simu, yeye huwa namsubiria akija kanisani ndipo nionane nae Siku za mwanzo...
9 Reactions
66 Replies
816 Views
Kuna jamaa alikuwa na mahusiano yenye umri wa takribani miaka kumi mpaka wakulungwa wakaamini hawa ni kifo tu kitawatenganisha, Ila huwezi amini message moja tu ya simu iliua haya mahusiano...
11 Reactions
24 Replies
447 Views
Kupiga goti ni ishara ya weakness
14 Reactions
116 Replies
1K Views
Kuna mshkaji hapa juzijuzi alienda mahali tulimalizia o level akakutana na msichana ambaye alikuwa rafiki yangu muda huo, yule dada akasema amenimiss mno, ikabidi mshkaji anipigie ili niongee na...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
Kwa wanawake wengi hujikuta wanapoteza hisia za mapenzi kwa mwanaume ambaye ni mwema sana,mpole sana, mstaarabu,hapendi ugomvi wala migogoro,mwanaume mwenye kuomba msamaha mara kwa mara hata kama...
8 Reactions
18 Replies
3K Views
Huo ndio ukweli,nami ukweli huo huutumia kwa vitendo,na hata tunaponyanduana na hakikisha tunapeana furaha haswaaaaaaaaaa
1 Reactions
1 Replies
102 Views
Nakumbuka wakati niko form 2 ndiyo nilivyoanza kuwaka hizi tamaa za wanawake basi kuna kabinti tulisoma nako shule ya msingi nikawa nimekazidi darasa moja, inamaana yeye alikuwa form one na kila...
0 Reactions
0 Replies
175 Views
Habari zenu vijana wapambanaji. Nimeikuta sehemu nimecopy na kuiwasilisha kama ilivyo, twende sawa hapo chini kwa kuangalia mambo 25 ya kuzingatia unapoenda kununua Utelezi. Mambo haya pengine...
21 Reactions
109 Replies
8K Views
Hii ni stori ndefu sana kipindi hicho nilikuwa naishi Mwanza nikifanya biashara ya mavazi nikinunua Dar kwenda kuuza Mwanza,na mdogo wangu wa kike alikuwa anasoma UDSM,mda mwingi nilikuwa...
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Nina miadi na mke wa mtu leo (date) ila sijui namna ya kuhandle situation. Wajuzi nisaidieni.
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Nimeamua kushare hapa hiki kisa cha kweli kilichonitokea kwenye maisha yangu. Nikiamini wengi mtajifunza na kuburudika pia. NB: Majina ya watu na baadhi ya Majina ya sehemu yatakuwa sio halisi...
46 Reactions
513 Replies
126K Views
Muda mwingine huwa nawaza tu, hivi Hawa watoto walioko mtaani ni kosa au matokeo ya nani??. jibu ni sisi , ndio ni Mimi na wewe, Kama sio sisi, ni yule au wale. Haijalishi we ni mzuri auhandsome...
26 Reactions
217 Replies
5K Views
Habari zenu! Kuna hofu inazidi kutanda dhidi ya wanaume wengi kuhofia maumbile yao ya uume. UKWELI NI KWAMBA.. Maumbile ya uume yapo sawa ondoa hiyo hofu. Yapo sawa kivipi...? maumbile ya...
12 Reactions
156 Replies
8K Views
Waslaam wakuu, kwanza naomba nitangulize shukrani zangu za dhati kwa mwenzetu bafetimbi kwa kuanzisha thread murwa kabisa ya Nofab challenge ambayo imeonekana kupokelewa vizuri Sana na Wana...
13 Reactions
71 Replies
9K Views
Iko hivi ,nilihamia hapa dsm mnamo mwezi wa saba mwaka jana nilivofika kuna dem nilisoma nae chuo tukadate kidogo then after mimi kumaliza chuo nikamtema coz hakua chaguo zangu .. Sasa nilivokuja...
15 Reactions
63 Replies
2K Views
Yaani mdogo wako anakutangulia kuzaa aisee ni dharau sana Wazee kuna mjinga mmoja hapa mtaani mdogo wake ana watoto wa 3, yeye hana hata mmoja aisee halafu kampita mdogo wake kwa miaka 5 Huu ni...
6 Reactions
37 Replies
872 Views
Wakuu, Mganga wa jadi kazi yake kuponya magonjwa kwa kutumia dawa za mitishamba, hapo dhambi yatoka wapi? Dhambi ni pale mtu huyo anatumia mitishamba hiyo kuua au kufifisha mipango ya mtu...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Back
Top Bottom