Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

My wife took off her ring after an argument. But there had been instances of arguments for about 2 months with minimal solutions. We have been together for more than 10 years. does this mean that...
0 Reactions
67 Replies
6K Views
Inavyoonekana katika tendo hili la ndoa,, wanaume ndiyo huwa wanasikia raha saaaaana kuliko wanawakem na ndiyo maana huwatoa kwa pesa wapenzi wao. Hivi mwanamke mzima unajisikiaje unapomegwa na...
1 Reactions
67 Replies
11K Views
Jaman wadau mi najiuliza hata sipati jibu wenzetu majuu mwanaume akiku-cheat mara moja tu hiyo ndoa ndio byebye, hata kama ni miaka 2 nyuma ukijua leo ndo imetoka hiyo...... lakini huku kwetu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu nackia mtu ukiwa mweupe basi soko lakn USUKUMANI ni kubwa mno. Je ni kwel watu twende huko
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wiki iliyopita nilipata bahati ya kutembelea Arusha, pamoja na kwamba sikupata bahati ya kukutana na wana JF wa pale Arusha nilifarijika sana kwa upendo wao hasa makaribisho yaliyoonyesha kwamba...
1 Reactions
143 Replies
8K Views
Kuna mdada ambaye nimetokea kumpenda sana, at first hakuonekana kuniaccept akanishauri kusaka girl friend. Niliufuata ushauri wake na kweli nakabahatika kumnasa mdada mwingine. Cha ajabu huyu...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
The friendship we have is so rare to find, We hate to see each other in a bind, We have made each other laugh so hard we have cried, We feel each others pain if we are hurt inside, We always can...
4 Reactions
46 Replies
3K Views
Mara nyingi kinamama mnatusimanga kuwa wanaume ni dhaifu, hatuna uaminifu kwenye kwenye mapenzi in short mnasema we are born cheaters,ngojeni sasa niwaeleze sababu: Wakati ninyi wanawake mmeumbwa...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Do you remember Ocol? He said, What is Africa To me? Blackness, Deep, deep fathomless Darkness; Africa, Idle giant Basking in the sun, Sleeping, snoring, Twitching in dreams...
1 Reactions
44 Replies
6K Views
Mambo ni aje wana JF!! Hatimaye nimerejea tena jamvini. Sio siri huu mwezi naona dada zangu wengi wanavaa mavazi mazuri na ya kupendeza!! Mavazi yenye heshima mbele za watu na yanayositri maungo...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Wanajamvi natumaini mu wazima wa Afya!<br /> Nimekuwa nikifiria sana kwa muda mrefu na nikaona ni vizuri kushirikiana mawazo,<br /> Ndugu yangu MKESHAJI AMEWEKA CLEAR MAWAZO yangu kwa thread...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Rest. Take time to refresh your body, mind and spirit. Throughout the day, find times to stop and breathe. Stretch your body. Get up and move. Plan longer get-aways for total renewal. You...
1 Reactions
1 Replies
934 Views
Habari zenu mabibi na mabwana? kweli hapa jamvini kunavitu vingi sana nimevipata kutokana na michango yenu kwenye topic au maswali mbalimbali ninayo uliza sasa kunakitu kimoja kinanichanganya sana...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Waungwana naomba msaada wenu, naishi na virusi vya ukimwi yapata miaka 7 sasa,mwenzi wangu ametangulia mbele za haki miaka 4 iliyopita. Nahitaji kuowa tena, nitampataje atakaye nikubali na hali yangu?
4 Reactions
22 Replies
5K Views
mmejiandaje kukabiliana na tatizo hili? tusaidiane jamani maana mnh! we acha tu!
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Mwenzenu nimekaa na kutathimini historia ya mapenzi yangu tangu nilivyoanza mahusiano ya kimapenzi, nikagundua kuwa wanaume ambo niliwapenda sana hatukuweza kudumu kwa mda mrefu, ila ambao...
0 Reactions
79 Replies
10K Views
Mimi nafanya kazi taasisi moja ya serikali. Ktk ofisi yetu niko mm na dada mmoja sijaoa na yeye hajaolewa na tumetokea kupendana sana, binti kwa kwel anatabia nzur kwa ujumla yake mpaka kunawatu...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
tulikua tunawasiliana kabla ya kuonana na baadaye tukapanga kukutana na kuishia kuwa wapenzi,ni mwaka miwili sasa niko nae. mwanzoni sikuona tatizo,tatizo lilianza pale yeye mwenyewe alipanza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mpaka sasa niko na laptop, mchumba kalala, ni kesi kwa kesho asubuhi, nisaidie mawazo!
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom