Mr.creative
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 492
- 117
mmejiandaje kukabiliana na tatizo hili? tusaidiane jamani maana mnh! we acha tu!
<br />Amua kwanzia leo hutokua na mahusiano ya kimwili na mwanamke yeyote maana we unaweza ukawa mwaminifu ye akakuletea!!<br />
<br />
Dawa ya penzi nayo inaweza ikakuangusha!!<br />
<br />
Alafu jitahidi kutotumia nyembe na sindano zisizoeleweka hovyo na mapambano yaanzie hapo!!
<br /><i>beba plastic bag mkuu..<br />
sahau kila kitu lakini si Condom..<br />
(maana hii ndo njia pekee inayomaliza)<br />
<br />
Ni kuwa mwangalifu tu na kupima <br />
kila mwaka...</i>
<br />
<br />
mwaka mkubwa, kila baada ya miezi 3.
Amua kwanzia leo hutokua na mahusiano ya kimwili na mwanamke yeyote maana we unaweza ukawa mwaminifu ye akakuletea!!
Dawa ya penzi nayo inaweza ikakuangusha!!
Alafu jitahidi kutotumia nyembe na sindano zisizoeleweka hovyo na mapambano yaanzie hapo!!
Mie sijui huwa nina moyo mgumu, yaani napima kila kipindi cha kucheki afya, hwa nacheki afya kila baada ya miezi sita, naomb Mungu aniepushe na hili gonjwa, cha ajabu watu wanaogopa ukimwi kuliko hata kansa
Duh yaani anaogopa mimba kuliko ukimwi?nahisi tu aashindwa kukwambia naogopa ukimwi koz utamwambia ina maana umeniona mie mgonjwa?Huko mbali dada,..
mwingine utakuta anakwambia
"speaker vaa condom".....
Unauliza kijinga jinga tu,..."kwanini?...unaogopa nini kwani?"
anajibu "Naogopa mimba",....yaani wengi wanaogopa mimba kuliko hata ukimwi,...
Ila honestly,nimegundua watu wengi wanakufa kwa uoga wa kupima tu,.....
Na wengine tuna ukimwi wa "mawazo" tu na unatuua hivi hivi,....kisa?uoga wa kupima
<br />Amua kwanzia leo hutokua na mahusiano ya kimwili na mwanamke yeyote maana we unaweza ukawa mwaminifu ye akakuletea!!<br />
<br />
Dawa ya penzi nayo inaweza ikakuangusha!!<br />
<br />
Alafu jitahidi kutotumia nyembe na sindano zisizoeleweka hovyo na mapambano yaanzie hapo!!
<br />Amua kwanzia leo hutokua na mahusiano ya kimwili na mwanamke yeyote maana we unaweza ukawa mwaminifu ye akakuletea!!<br />
<br />
Dawa ya penzi nayo inaweza ikakuangusha!!<br />
<br />
Alafu jitahidi kutotumia nyembe na sindano zisizoeleweka hovyo na mapambano yaanzie hapo!!
Mimi i trust no CONDOM now,ni fake fake fakero kabisaaaaa na
malengo ya utengenezaji wa condom ni kuua watu,...
Bora kuwa mwaminifu kwa Mungu na kwa mwenzi wako BAAAAASI
Kupanga mikajati ni rahisi lakini ukiona ile kitu mikakati yote inaparanganyika.