EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,090
Wiki iliyopita nilipata bahati ya kutembelea Arusha, pamoja na kwamba sikupata bahati ya kukutana na wana JF wa pale Arusha nilifarijika sana kwa upendo wao hasa makaribisho yaliyoonyesha kwamba ni kweli wao wako BEYOND KEYBOARDS.Bahati mbaya sana ratiba yangu ilikuwa imebana sana lakini naahidi kuja tena Arusha kwa ajili ya wana JF wa huko. Shukrani za dhati kwa wote wale walionikaribisha na hata wale walionielekeza wapi pa kwenda nikiwa Arusha.