Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Mara nyingi kinamama mnatusimanga kuwa wanaume ni dhaifu, hatuna uaminifu kwenye kwenye mapenzi in short mnasema we are born cheaters,ngojeni sasa niwaeleze sababu: Wakati ninyi wanawake mmeumbwa na KICHWA kimoja sisi wanaume tumeumbwa na vichwa VIWILI. Bahati mbaya haiwezekeni vichwa viwili vifikiri kwa wakati mmoja na ndo maana kimoja kikiwa active kingine automatically kinakuwa offline.Kwa hiyo msishangae kwa baadhi ya maamuzi yetu ( kama kulala na housegirl,secretary ofisini,mke wa jirani etc) yote haya huwa tunaamua kuyafanya kwa kuongozwa na kichwa ambacho ninyi hamkuumbwa nacho na ndo maana huwa mnashangaa inakuwaje tunaamua hivyo.kwa hiyo siku zote wakati mnatuhukumu kumbukeni jambo hili.
Nawatakieni weekend njema.
Nawatakieni weekend njema.