Supervisor
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 559
- 207
Mimi nafanya kazi taasisi moja ya serikali. Ktk ofisi yetu niko mm na dada mmoja sijaoa na yeye hajaolewa na tumetokea kupendana sana, binti kwa kwel anatabia nzur kwa ujumla yake mpaka kunawatu wananishauli nimuoe na mm kwel nampenda sana naona naweza kuishi nae vzur.
Naombeni ushauri wenu jaman hivi kuna madhara gani mkioana mkiwa mnafanya kazi ofisi moja?.
Naombeni ushauri wenu jaman hivi kuna madhara gani mkioana mkiwa mnafanya kazi ofisi moja?.