Smartmind
Member
- Feb 17, 2011
- 31
- 6
Jaman wadau mi najiuliza hata sipati jibu wenzetu majuu mwanaume akiku-cheat mara moja tu hiyo ndoa ndio byebye, hata kama ni miaka 2 nyuma ukijua leo ndo imetoka hiyo...... lakini huku kwetu ishakua jambo la kawaida wamaume kila siku leo karuka na mdogo wako, kesho shoga, mtondo jirani, jana binamu hata housegirl, na unagundua lakini unasamehe na kusonga mbele, ni huruma, ujinga, au uoga wa kuishi bila yeye?:angry: