ta ra ra ra raaaaaaaaaaaWeka laptop pembeni.
Mkumbatie.. mna nilii nalii
kidoncho, you never know ..
Labda hasira zote za kesho
zitaisha s sasa ......
Ana kandoa na mimi (mimba) kuniacha itakula kwake.Kwa nn sasa unamwacha mwenzako analala mwenyewe,mie kirudi tu naweka kila kitu pembeni mpaka nahakikisha keshalala kabisa ndio naweza ingia tena
au nisiingie kabisa, na muda mwingisafari ni nyingi, wewe hata hujamwoa unafanya hivo, anaweza tumia kigezo hicho kukudisquqlify