Inavyoonekana katika tendo hili la ndoa,, wanaume ndiyo huwa wanasikia raha saaaaana kuliko wanawakem na ndiyo maana huwatoa kwa pesa wapenzi wao. Hivi mwanamke mzima unajisikiaje unapomegwa na baadaye jamaa "kukutoa"? Hata kama ni b/f wako.. kwanini kama ni hela asikupe tu kabla au wakati mwingine mpaka akumege kwanza?? Hamjisikii kujidhalilisha?? Kama si kweli, basi mbona wanawake hawawatoi wanaume na pesa ukiacha yale ma sugar mamy?