Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Namsaka baby msichana awe na umri kuanzia 18-25 asanteni mabinti wa kibongo na sifa zote nzuri nizenu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
When I got home that night as my wife served dinner, I held her hand and said, I've got something to tell you. She sat down and ate quietly. Again I observed the hurt in her eyes. Suddenly I...
10 Reactions
86 Replies
7K Views
Hiyo siyo kauli yangu mimi Mtambuzi, bali ni kauli ambayo inawezekana hata wewe umewahi kuisikia au kuitoa pale unaposikia au kupata tetesi kuwa kuna mtu anatembea na mkeo au mpenzi wako. Mimi...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
MKAZI wa jijini Mwanza, Thomas Jilala (22), anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma kwa tuhuma za kumuua anayedaiwa kuwa mpenzi wake, Levina Kiwili (26), mkazi wa Mfaranyaki katika Manispaa...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Jaman kila post nnayoangalia naona ni male anatafuta female,post chache sana za females wanatafuta male Haya sasa nawadirect nendeni mwakilaga.blogspot.com huko ndo mtakuta females wanatafuta...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habar zunyu baana. Dunia imefikia kubaya! Kuna dada mmoja rafk yangu huwa tunaongea mambo mbali2. Jana kaniita akiomba ushaur akiwa hajui la kufanya. Dada ni mdogo ndo amemaliza f4 mwaka huu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta msichana alye chuo mwaka wa kwanza ambae tutakua wapenzi daima,umri 19-22yrz,kawe keupe,kanene kiasi,karefu kimtindo,macho mazuri,nywele ndefu,kawe kakristo,kawe kasafi ka mwili na...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Hello!! Natafuta marafiki wa kuchat nao ningependa zaidi age 17-20 coz age yangu inarange hapo Sibagua jinsia,kabila au rangi. Aliye tayari aniPM
0 Reactions
1 Replies
2K Views
We are all good and always happy with our married lives, but in that room there are many things nobody know... some people snore, talk in their sleep, good manners, bad manners etc i will start...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa Miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana kukupenda kutunzwa na kulelewa na mimama badala ya kuchapa kazi kwa mikono yao na kujiongezea kipato. Binafsi nina orodha ya majina...
0 Reactions
53 Replies
9K Views
naomba ni-share na wanajamvi hiki kisa kinachonitesa kwa saa... Hapo zamani za mwaka 1987 nikiwa nimemaliza fom 4 alitokea kijana mmoja akaniambia ananipenda, let me call him mr. X, wakati huo na...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Mara kwa mara wanaume tumekua tukilaumiwa na wanawake kuwa ni chanzo cha vurugu ktk mapenzi na hata ndoa pia. Kwa upande mwingine,wanaume tumekua tukiwashutumu wanawake kuwa ndo waanzilishi wa...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Baada ya ku sort issue na Y na kumueleza ukweli kuhusu X,ilimuuma sana na baadaye akaahidi kunisamehe,as days goes on nikaona sijitendei haki ya kuwa na Multiple relations,nikaaamua kuwa muwazi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
What are the qualities that, in your view lie behind the success of your husband, wife or fiancee in life be it in business or relationship?? 1.LOVE 2.CARING 3.UNDERSTANDING 4.SUPPORT...
5 Reactions
200 Replies
12K Views
Imetokea huku kijijini kwetu Pugu-Majohe. Mkaka kakatwa vidole vyote vya mkono kwa kula mke ya mtu, mume kakuta sms imeandikwa 'bebi tukutane Kisarawe' na kila siku alikuwa anashuku mawasiliano...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Yaani asikuambie mtu,mapenzi ni kitu kingine kabisa.iwapo tuliachana naye kwa maneno makali na kujiapiza hamna anayemuhitaji mwenzake lakini kila nikiskia huu wimbo wa "chukua yote yako" huwa...
1 Reactions
34 Replies
13K Views
mm ni kijana mwenye umri wa miaka 24,na nimemaliza chuo mwaka huu..!natafuta binti wa kuchat naye awe na elimu yoyote,rangi yoyote,mnene kiasi,urefu wa wastani na awe mcheshi..!kama yupo...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Kinababa hufurahi sana wakisikia kuwa wamefanana na baba zao, hali kadhalika nasi kina mama hufurahia kusikia watoto wetu wamefanana na Baba zao. Hii inatujengea imani kwa wanao tuzunguka kuwa...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Wana JF, nimegundua threads nyingi members wanaleta zinahusu matatizo na namna matatizo hayo yanasababisha matokeo katika maisha yao (au jamii, au taifa, ulimwengu etc), zaidi matokeo mabaya...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
WANAUME WENGI NI WAOGA MBELE YA WANAWAKE WALIOSOMA AU WENYE PESA. UTAKUTA SABABU NYINGI ZINALETWA ETI HOO WALIOSOMA NA WENYE PESA HAWAPENDEKI ETC LAKINI UKIFATILIA CHANZO NI WOGA. NAFIKIRI BABU...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Back
Top Bottom