Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu. Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyonavyo
5 Reactions
34 Replies
5K Views
I'm a teenage boy(11-19) chukulia kwamba we ni mazazi wangu,umepata ushahidi kwa kadi au barua au msg kwenye simu yangu kwamba nina demui. We kama mzaz wangu tanikataza nisiwe na demu,au...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
SIDHANI KAMA KUNA MWANAUME ANAYEWEZA KUCHOMOKA HAPO.
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Wanaume sometimes tunakuwa wabishi na tunashikiria mambo fulani ambayo hata hayana maana. Tuna poteza vionjo kidogo kidogo na siku tunajikuta kwenye ndoa zenye zero gravity bila hata wenyewe...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Niko Dodoma. Niko serious. Awe anaishi Dodoma pia. Ni-PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Can we go to the days our love was strong can you tell me how a perfect love goes wrong can somebody tell how to get things back the way they use to be oh God give me a reason i'm down on...
6 Reactions
58 Replies
4K Views
Bandugu, Nataka kujua tabia za wasichana hawa,kuna wengine wapo mjini wameenda shule.Tabia zao please!
0 Reactions
26 Replies
21K Views
habari zeni Great thinkers, Naanza kama ifuatavyo, Kitambo niliwahi kuomba msaada kupitia Jamvi hili kuhusu Mchumba wangu. Mimi ni kijana wa Kiume Nilieko Ughaibuni na nilimchumbia Msichana mmoja...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
naomba kuleta haja yangu hapa ili wakinadada wanisaidie ni manenogani niseme ili mdada anikubali. na vitu gani nimfanyie msichana ninaemtongoza anipende. msaada tafadhali
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanaume kuamua kwenda kinyume na maumbile na kundi hili sasa aliangalii kama ni wakurugenzi ma engineer yaani imeenda beyond limit.. sasa basi tumekuwa ama tumeona...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
... kuna mwanamke mmoja nilikua naongea nae tena ye ni mke wa mtu (ni kawaida yangu kuwa na mazoea na wake za watu japo kwa nia njema)...and katika stori stori za hapa na pale nikamwambia, 'me i...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sijui ni kukosa utu, kujali, au kukosa maadili! Inakuwaje watuwengine wanaishi maghorofani ni kana kwamba hawajali wanaoishi chini. Kwani ni lazima iwe ugomvi. Maana angalau nyumba zinazopakana...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
JUzi tu nilimfumania live demu mmoja aliyekua demu wangu wa karibu yaani my soulmate inaniuma ila sijui ni solve vipi tulikua tunapita kwenye uchochoro fulanai mitaa ya uswahilini mererani...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika jamii zetu za kiafrika hatutambulishi boy friend ila tunatambulisha mchumba
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana JF...naomba mnisaidie my boy yuko mbali na ninapoishi,yupo busy sana,mawasiliano hafifu mpk nimtafute bt anashow km he loves me. Cmsumbui na v2 vngne zaidi yakumsisitizia ukaribu.cna imani km...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
WanaJF,ndo naingia ubungo toka mkoani,lodge/hotel gani iliyokaribu wana channel zinazoonesha mambo yetu yaleeee! Ya kupiga game.
0 Reactions
18 Replies
12K Views
nimeifuta post
0 Reactions
122 Replies
10K Views
Kila mtu ni mbaya kwako, kila mtu anakuchukia, wewe tu, kila mtu hakutendei haki, kila mtu ana kasoro? Je wewe ndivyo unavyoishi hivi? Kama jibu ni ndiyo au kama una mtu wako wa karibu ambaye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wapendwa, ninatafuta mume rafiki ambae atakuwa mwenzi wangu wa maisha, mimi ni mkristo nina 40yrs nina kazi yangu ningefurahi kama ningempata mwenye umri kati 42 had 45, awe...
0 Reactions
45 Replies
5K Views
Back
Top Bottom